Mimi niliomba higher diploma ya edn sikupata daaah roho inaumaaa!,sijui nilijichanganya,?mana niliomba kada mbili ualim na afya,wamenipa oldnary diploma medical laboratory
Habari zenu wanajamvi,
Poleni na majukumu, naomba msaada wa mawazo.
Mimi niliomba kudahiliwa higher diploma ya education pia ordinary diploma za afya kupitia NACTE. Wamenipa ordinary diploma in medical laboratory chuo cha St. Francis ambacho nasikia kimefungiwa.
Nifanyeje jamani?
habari zenu ndugu zangu,napenda kufahamu kutoka kwenu kuhusiana na higher diploma in science and mathematics itolewayo kwenye vyuo mbalimbali vya ualimu. 1.je hii ni kozi ya miaka mingapi?(mana nacte kwenye kitabu chao wameandika 2yrs bt nilijaribu kutafuta joining instruction za mwaka...
Habari zenu jamani.naomba kupata msaada wa mawazo kutoka kwenu.Mimi nilikua nasoma bs.informatics sua.lakini nimediscontinue mwaka jana kabla ya kuingia mwaka 3(mwaka huu).kwa sasa natafakari kitu cha kufanya kati ya hivi viwili 1.nitumie cheti cha form 4 kuaply diploma kozi za afya(co) au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.