Ila waTz basi tu.... Watu waliongea sana ujenzi hovyo wa vituo binafsi, picha zikaletwa kwamba Magufuli stend inakufa... Tukalalamikia serikali
Hatua zimechukuluwa tunalalamikia serikali
Kuna MUDA HATUJIELEWI.
Hii game ni watu wazima na wenye akili wanaielewa kama una kichwa cha panzi kaa pembeni ukiamini serikali imeshindwa na CHADEMA na LISSU wanaenda kushinda.
HAKUNA MWANASIASA ASIE NA PRICE TAG ALICHOFANIKIWA LISSU NI KUTENGENEZA MAZINGIRA YA FIDIA TOFAUTI NA MTANGULIZI WAKE. KARAGABAHO.
HUTAKI...
Wakenya na ushahidi upo mzeee sio yote yatawekwa JF sema mmeamua tu kukaza vichwa.... Uliona KENYA akikanusha hata siku moja.... Watu walikamatwa hadi na mabegi ya hela wakivusha
Ishu ya muungano wiki mbili zilizopita nilibishana na mwanangu anafanya mitihani ya std 7 mwaka huu... Yeye alishikilia msimamo kwanma TANZANIA sio muungano na mpaka mwisho alikomaa kwa definition anayoijua yeye.
Kimsingi ishu ya muungano inahitaji kujadiliwa kwa upana wake generation ijayo...
Hii ni sehemu ya hasara kwa serikali mana rate ya uajiri ni ndogo sanaa upande mwingine wanufaika watakua wengi ila muda wa kulipa hua ni maumivu makali kwa vijana.
Kama haya unayotamani yako kwenye uhalisia, leo hii reli ya SGR ingekuwa imemalizika. $20b ni habari nyingine boss. Huo mradi wanatarajia uanze lini na kuisha lini?
Mkuu hii ni project ya nchi zaidi ya moja huezi fananisha na SGR
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.