Recent content by albab

  1. albab

    Hizi picha za Singapore kabla ya kupata uhuru mwaka 1965 zinemenifikirisha sana

    Utakua kiumbe wa ajabu kama umeshindwa hata kukijua hili.....
  2. albab

    Hizi picha za Singapore kabla ya kupata uhuru mwaka 1965 zinemenifikirisha sana

    Tatizo lilianzi kwenye Sera ya ujamaa mengine ni matokeo ya sera hiyo.
  3. albab

    Polisi: Mwanamtandao Ashlee Jenae alifia Hospitali baada ya kukutwa amejinyonga

    Moja kati ya andiko la hovyo kuwahi kuandikwa jf. Kuna watu akili zipo pa kutolea haja kubwa. Na haja kubwa ikajazwa kichwani
  4. albab

    Mfumo ubadilishwa, Sio sawa dhahabu inachimbwa Geita halafu viongozi wachache waamue mapato yajenge mikoa mingine wakati Geita haina stendi

    Nadhani muandishi ungejiridhisha ukajua shida ni nini hasa. Geita mpango wa stend upo tangu 2022 kama sikosei na eneo lilitengwa Buhalahala (upande wa pili wa ilipojengwa H.Manispaa ya Geita. Swali ni je ule mpango uliishia wapi mana 2024 ilisemekana fedha zipo na michoro ilikua imekamilika...
  5. albab

    Chochote unachokijua kuhusu Toyota corolla fielder wxb - hybrid

    Maelezo ya ziada samahani Na option nyingine kama ipo
  6. albab

    Chochote unachokijua kuhusu Toyota corolla fielder wxb - hybrid

    Habari Wakuu... Kwanza nianze kwa kusema mimi ni mgeni kwenye field hii ya magari ila natamani kupata usafiri siku kadhaa mbele. Chaguo langu ni toyota (kwa sababu ni gari yangu ya kwanza naamini sitosumbuka sana). Nimewaza gari ya kifamilia zaidi na ngumu ambayo pia ni fuel economy. Katika...
  7. albab

    Apartment for Sale – Upanga

    Tangazo uweke hapa ila picha na video tuzifuate whatsApp. Kila la kheri Mkuu Utawapata.
  8. albab

    Kuteuliwa kwa Angella Kizigha, tukubali Magufuli alizungukwa na Chatu. Huu ni ushahidi tosha. RIP Magufuli tutakukumbuka kwa Mazuri

    Kuna watu wanaakili kuwazidi na msidhani nyie ni wajanja na mnajua kila kitu. alipo sasa ni bora na salama kuliko alipokua mwanzo.
  9. albab

    Jinsi ya kuanza biashara ya mafuta kipindi hiki cha mzozo wa Iran vs Israeli-Marekani

    Unaweza kupiga dili na wale askari walinzi pia pipa wanaweza kukuvushia hadi kwa $ 10-20 ila uwe makini mana sio njia salama sanaa
  10. albab

    Vita Vya Iran: Iran Ina Nuclear

    Hizi ni sababu tu.... Note. Tuna make move ya Venezuela tunakamata reserve kubwa ya mafuta... Then Iran ambae anasupply mafuta kwa bei rahisi sana na kwa zaidi ya asilimia 80 kwa Mchina. Tunamuumiza mchina for the long run... Sisi tutaumia kwa muda kidogo ila baada ya hapo ni shangwe. SMART...
  11. albab

    Kilichotokea mgodi wa Msata Geita

    Mwepesi sanaaaaaaaa
  12. albab

    Wakili Marijani: Mnyika ameupotosha Umma, shauri la mgawanyo wa mali wa CHADEMA

    Chama kinatumia gharama kubwa mahakamani sina hakika kama walishawahi kukaa wakatathimini hili. Wajinga watailaumu serikali, wapumbavu watamtaja SAMIA.
  13. albab

    Kilio na sala ya Lissu toka Ukonga: Watanzania mmelala? Mimi sijalala

    Maelezo mengiii hamna lolote
Back
Top Bottom