Kiongozi unaongelea dunia ya zamami sana utaratibu uko tofauti sanaa kipindi hiki kwa migodi yote mambo yote yanaratibiwa HAIWEZEKANI HIZO AIRSTRIPS KUTUMIKA KWA DUNIA YA SASA.
BORA UNGESEMA VIWANJA VYA MBUGANI HUKO.
Unajiona una aakili mwenyewe..........
Nakufafanulia kidogo mengine kajifunze mwenyewe kilaza mkubwa wewe.
Ntakupa case study ya GGM.
Mzigo wote husafirishwa na chopa ambayo haitui kwenye kiwanja cha ndege bali ndani ya process plant. Chopa hiyo haibebi zaidi ya kilo 300 Ambazo zimepimwa...
Kama kweli umefanya kazi mgodini miaka 15 ikiwemo GGM na hujui utaratibu wa uchimbaji, uchakataji, boxing had export basi jipige kifua SEMA SINA AKILI.
Ni lini ukiwa GGM uliona mzigo unatoka process plant kwenda airport unayoiongelea baada ya jaribio kutaka kupiga mzigo??
Je unaifahamu kampuni...
Bado kuna gape kubwa kwenye hii ishu
Tatizo la mtandao wa X hua unalipuka kutokana na wingi wa harakati baada ya muda ukweli unaanza kuibuliwa upya.
X sio pa kupaamini ndani ya siku mbili na ukahitimishia jambo patakuaibisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.