Recent content by albab

  1. albab

    JamiiForums Tanzania Serengeti Boys yatinga Fainali ya AFCONU17 2026, baada ya kumuondoa Misri kwa mikwaju ya penati

    Wamepambana na ilikua tuwatoe mapema sanaaa
  2. albab

    JamiiForums Tanzania Kombe la Arsenal, EPL lapelekwa Kenya, bongo tunafeli wapi?

    Uliona event yao baada ya arsenal kuchukua ubingwa lakini???
  3. albab

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu vinachekesha sana kama hili la migodi mikubwa kuwa na airports zao za ndani kwa ndani. Kweli waafrika aliyeturoga alikufa na ulozi wake

    Kiongozi unaongelea dunia ya zamami sana utaratibu uko tofauti sanaa kipindi hiki kwa migodi yote mambo yote yanaratibiwa HAIWEZEKANI HIZO AIRSTRIPS KUTUMIKA KWA DUNIA YA SASA. BORA UNGESEMA VIWANJA VYA MBUGANI HUKO.
  4. albab

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu vinachekesha sana kama hili la migodi mikubwa kuwa na airports zao za ndani kwa ndani. Kweli waafrika aliyeturoga alikufa na ulozi wake

    Kwa heshima yako Mkuu kujifunza hakuishi chukua hilo in a positive way. Nisamehe nilipokukwaza Mzee wangu
  5. albab

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu vinachekesha sana kama hili la migodi mikubwa kuwa na airports zao za ndani kwa ndani. Kweli waafrika aliyeturoga alikufa na ulozi wake

    Jinga sasa Watz wengi hawajui mambo wanayabeba kupitia kina heche waleta humu
  6. albab

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu vinachekesha sana kama hili la migodi mikubwa kuwa na airports zao za ndani kwa ndani. Kweli waafrika aliyeturoga alikufa na ulozi wake

    Unajiona una aakili mwenyewe.......... Nakufafanulia kidogo mengine kajifunze mwenyewe kilaza mkubwa wewe. Ntakupa case study ya GGM. Mzigo wote husafirishwa na chopa ambayo haitui kwenye kiwanja cha ndege bali ndani ya process plant. Chopa hiyo haibebi zaidi ya kilo 300 Ambazo zimepimwa...
  7. albab

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu vinachekesha sana kama hili la migodi mikubwa kuwa na airports zao za ndani kwa ndani. Kweli waafrika aliyeturoga alikufa na ulozi wake

    Kama kweli umefanya kazi mgodini miaka 15 ikiwemo GGM na hujui utaratibu wa uchimbaji, uchakataji, boxing had export basi jipige kifua SEMA SINA AKILI. Ni lini ukiwa GGM uliona mzigo unatoka process plant kwenda airport unayoiongelea baada ya jaribio kutaka kupiga mzigo?? Je unaifahamu kampuni...
  8. albab

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Bashungwa ? Akiwa waziri wa mambo ya ndani alijaa kibri na dharau Madaraka ni koti la kuazima

    Alisahau ana uraia wenye mashaka.
  9. albab

    JamiiForums Tanzania Siasa zetu za vyama zimefika saturation point kwa CHADEMA

    Unadhani kwanini yupo alipo??? Hii kitu nimmaslahi tu
  10. albab

    JamiiForums Tanzania Siasa zetu za vyama zimefika saturation point kwa CHADEMA

    Hahahaha Mshana Jr tupo na tuombe uzima.. watu wanatafuta ajira
  11. albab

    JamiiForums Tanzania Siasa zetu za vyama zimefika saturation point kwa CHADEMA

    Siku tukijua CHADEMA ni mradi wa CCM uliochangamka tutakua tumechelewa sana.
  12. albab

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia za Uchaguzi mwaka 2025

    Nyie gomeni vunjeni vitu chomeni weeeee baada ya hapo wenzenu wanagonga mamilioni ya tume na ufuatiliaji na marekebisho
  13. albab

    JamiiForums Tanzania KERO MGODI UPO, MAENDELEO HAYAPO – WANANCHI WA NJANJAGE TUNALIA

    Mkuu January unataka leo pawe kama ulaya???
  14. albab

    JamiiForums Tanzania Baada ya Buyobe na wasiwasi pia Bagonza.

    Bado kuna gape kubwa kwenye hii ishu Tatizo la mtandao wa X hua unalipuka kutokana na wingi wa harakati baada ya muda ukweli unaanza kuibuliwa upya. X sio pa kupaamini ndani ya siku mbili na ukahitimishia jambo patakuaibisha
Back
Top Bottom