Recent content by albab

  1. albab

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua wimbo huu unaitwaje

    Yahh mkuuu
  2. albab

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua wimbo huu unaitwaje

    Aanu ni
  3. albab

    JamiiForums Tanzania Yanayofichwa ni haya: Wabongo walioletwa kutoka S.Africa wengi ni vichaa na mateja

    Wangekutwa wanne wameuawa hilohilo lingekuja kusema CCM imeshindwa... Hayanaga jema wala akili yanawaza kwa kutumia shimo la nyuma.
  4. albab

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe kwa jicho la jasusi mbobevu

    Brother leo ntakwambia kitu utaamua kukichukua au kukiacha.... Hakuna wakati ambao LISSU AMEFAIDIKA kama wakati huu akiwa ndani; kiuchumi kwa sasa lisu yupo level nyingine kabisa. Lissu na Mbowe ni kitu kimoja ila sura mbili tofauti.. Lissu amefanikiwa kutumia udhaifu uliotokea kwa Mbowe...
  5. albab

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Majambazi wapora fedha na kumuua wakala

    Kwani uliisha lini acheni unafiq
  6. albab

    JamiiForums Tanzania Malisa akamatwa na Polisi, Namanga na kupelekwa kusikojulikana

    Watanzania sio wajinga kiasi hiki
  7. albab

    JamiiForums Tanzania Tayari ameshanyang'anywa diplomatic passport, simu zake zote, na sasa haijulikani alipo.

    Kwani wakati anavuliwa uanachama neno Balozi likitumika??
  8. albab

    JamiiForums Tanzania Wakuu nchi inauzwa tuitisheni maandamano haraka iwezekanavyo

    Yani tuingie barabarani kwa sababu wewe umesema.... Usome wewe maandamano tufanye sisi😂 Weka humu mikataba tufanye maamuzi
  9. albab

    JamiiForums Tanzania Legacy ya Rais Samia ni ipi mpaka sasa?

    Unaushahidi
  10. albab

    JamiiForums Tanzania Legacy ya Rais Samia ni ipi mpaka sasa?

    HAPA HUTAWAONA WANAPITA KAMA WAMEKATWA MIKIA. 13. UNUNUZI WA MAGARI MENGI ZAIDI HADI. KWA TAASISI ZIKIZOKUA ZIMESAHAULIKA. 14. NDIO AWAMU MIKOPO YA ASILIMIA 1O KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU IMETOLEWA KWA WINGI NA IMEKUA NA TIJA. 15. KUBORESHA KWA KIWANGO KIKUBWA HUDUMA YA MAMA NA...
  11. albab

    JamiiForums Tanzania Vituo vya Mabasi: Ni kwaajili ya wananchi au Serikali?

    Ila waTz basi tu.... Watu waliongea sana ujenzi hovyo wa vituo binafsi, picha zikaletwa kwamba Magufuli stend inakufa... Tukalalamikia serikali Hatua zimechukuluwa tunalalamikia serikali Kuna MUDA HATUJIELEWI.
  12. albab

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu, mawakili wa serikali wabadili gia angani, wafunga ushahidi tofauti na ahadi yao ya kuileta mashahidi waliokuwa wamebaki

    Hii game ni watu wazima na wenye akili wanaielewa kama una kichwa cha panzi kaa pembeni ukiamini serikali imeshindwa na CHADEMA na LISSU wanaenda kushinda. HAKUNA MWANASIASA ASIE NA PRICE TAG ALICHOFANIKIWA LISSU NI KUTENGENEZA MAZINGIRA YA FIDIA TOFAUTI NA MTANGULIZI WAKE. KARAGABAHO. HUTAKI...
  13. albab

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tuhuma za Tanzania kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Zambia sio za kweli ZIPUUZWE

    Mkuu sio lazima wewe kuamini ili kitu kiwe kweli.. BADO KIDOGO LISSU ATAACHIWA KASHAFIKADAU HUKO
  14. albab

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tuhuma za Tanzania kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Zambia sio za kweli ZIPUUZWE

    Sawa Mkuu..... As long as ni ishu ya kidiplomasia bila shaka alieropoka atajibu pia naamini anaushahidi.
  15. albab

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tuhuma za Tanzania kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Zambia sio za kweli ZIPUUZWE

    Wakenya na ushahidi upo mzeee sio yote yatawekwa JF sema mmeamua tu kukaza vichwa.... Uliona KENYA akikanusha hata siku moja.... Watu walikamatwa hadi na mabegi ya hela wakivusha
Back
Top Bottom