Kuna muda Pesa ikiwa nyingi inawasha.... Ivi kama unaakili timamu na unaifahamu siasa ya TANZANIA unawezaje kujenga hilo eneo ikiwa tayari lina refence ya watu kubolewa na hawakulipwa!!!🙌 Kwa siasa za Tz ni swala la muda kuna watu watalia na kusaga meno kwenye hayo maeneo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.