Recent content by albab

  1. albab

    JamiiForums Tanzania Vituo vya Mabasi: Ni kwaajili ya wananchi au Serikali?

    Ila waTz basi tu.... Watu waliongea sana ujenzi hovyo wa vituo binafsi, picha zikaletwa kwamba Magufuli stend inakufa... Tukalalamikia serikali Hatua zimechukuluwa tunalalamikia serikali Kuna MUDA HATUJIELEWI.
  2. albab

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu, mawakili wa serikali wabadili gia angani, wafunga ushahidi tofauti na ahadi yao ya kuileta mashahidi waliokuwa wamebaki

    Hii game ni watu wazima na wenye akili wanaielewa kama una kichwa cha panzi kaa pembeni ukiamini serikali imeshindwa na CHADEMA na LISSU wanaenda kushinda. HAKUNA MWANASIASA ASIE NA PRICE TAG ALICHOFANIKIWA LISSU NI KUTENGENEZA MAZINGIRA YA FIDIA TOFAUTI NA MTANGULIZI WAKE. KARAGABAHO. HUTAKI...
  3. albab

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tuhuma za Tanzania kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Zambia sio za kweli ZIPUUZWE

    Mkuu sio lazima wewe kuamini ili kitu kiwe kweli.. BADO KIDOGO LISSU ATAACHIWA KASHAFIKADAU HUKO
  4. albab

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tuhuma za Tanzania kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Zambia sio za kweli ZIPUUZWE

    Sawa Mkuu..... As long as ni ishu ya kidiplomasia bila shaka alieropoka atajibu pia naamini anaushahidi.
  5. albab

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tuhuma za Tanzania kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Zambia sio za kweli ZIPUUZWE

    Wakenya na ushahidi upo mzeee sio yote yatawekwa JF sema mmeamua tu kukaza vichwa.... Uliona KENYA akikanusha hata siku moja.... Watu walikamatwa hadi na mabegi ya hela wakivusha
  6. albab

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Sasa kiwanja ulinunua cha nini Boss
  7. albab

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Ishu ya muungano wiki mbili zilizopita nilibishana na mwanangu anafanya mitihani ya std 7 mwaka huu... Yeye alishikilia msimamo kwanma TANZANIA sio muungano na mpaka mwisho alikomaa kwa definition anayoijua yeye. Kimsingi ishu ya muungano inahitaji kujadiliwa kwa upana wake generation ijayo...
  8. albab

    JamiiForums Tanzania Ntobi: Waziri wa Maliasili na utalii ajiuzulu kufuatia mauaji ya kijana yaliyotokea Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro

    Sahihi kabisaaa hawa ni ufee au uue tu. Jamaa wakiaim hawakosi na ikienda chemba hairudi
  9. albab

    JamiiForums Tanzania Raia wa Kenya akamatwa Zambia akihusishwa na ujasusi kuvuruga Uchaguzi

    Kina muda unaweza kuhisi matukio yanatengenezwa untill ujue kilichokea airport ya tz mwak 2025 na uhalisi wa wale waliorudishwa kwao.
  10. albab

    JamiiForums Tanzania Ntobi: Waziri wa Maliasili na utalii ajiuzulu kufuatia mauaji ya kijana yaliyotokea Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro

    Sijasoma ila nikwambie mwana JF NI MARA 100000000 UKUTANE NA ASKARI POLISI AU MWANAJESHI SIO RANGER ANAEIJUA KAZI YAKE, HAWA JAMAA NI LEVEL NYINGINE.
  11. albab

    JamiiForums Tanzania Sijui ndio tuwaite washamba au limbukeni wa magari?

    Kuna mambo mawili anakwambia ili ujue amejua unamfuatilia ni njia sahihi kama eneo ni la wazi na halina risk. Njia yako pia ni sahihi na salama zaidi
  12. albab

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali ya Kenya yapendekeza kufuta mfumo wa ufadhili wa masomo ya Vyuo Vikuu, wanafunzi wote

    Hii ni sehemu ya hasara kwa serikali mana rate ya uajiri ni ndogo sanaa upande mwingine wanufaika watakua wengi ila muda wa kulipa hua ni maumivu makali kwa vijana.
  13. albab

    JamiiForums Tanzania Ukifuatilia suala la crude oil refinery ya Tanga- utaonatatizo kubwa la washabik na wanachama wa upinzani na CCM wanapenda sana vyama vyao kuliko nchi

    Kama haya unayotamani yako kwenye uhalisia, leo hii reli ya SGR ingekuwa imemalizika. $20b ni habari nyingine boss. Huo mradi wanatarajia uanze lini na kuisha lini? Mkuu hii ni project ya nchi zaidi ya moja huezi fananisha na SGR
Back
Top Bottom