Recent content by albab

  1. albab

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Madola yaipa Tanzania siku 30 Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria

    Uwezo wako ni mdogo sana na ushabiki wa namna hii huishia kwenye ushoga.
  2. albab

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Madola yaipa Tanzania siku 30 Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria

    Wanapambana sanaa ila TZ ni nchi huru. Ukikijua hili kama unaakili utajua nini kipo nyuma.
  3. albab

    JamiiForums Tanzania Taarifa za kikachero!

    Umeshindwa kuweka na link zake mkuu👋
  4. albab

    JamiiForums Tanzania HOJA Hifadhi ya barabara ya Morogoro inaangamizwa mbele ya macho yetu

    Kuna muda Pesa ikiwa nyingi inawasha.... Ivi kama unaakili timamu na unaifahamu siasa ya TANZANIA unawezaje kujenga hilo eneo ikiwa tayari lina refence ya watu kubolewa na hawakulipwa!!!🙌 Kwa siasa za Tz ni swala la muda kuna watu watalia na kusaga meno kwenye hayo maeneo.
  5. albab

    JamiiForums Tanzania Maskini Pacome. Kweli kuimba kupokezana. "Kama Simba hawataki Kuguswa wakacheze karata" Pacome leo kaguswa

    Hii ishu simba washailalamikia sana humu walionekana wapuuzi
  6. albab

    JamiiForums Tanzania Wanashughulika na mikutano ya siasa na Chadema. Sasa ni zaidi ya nusu saa nchi nzima haina umeme. Koteeee hakuna umeme

    Kagera upo bwana si koteeee kama unavyosema. Kuna mikoa haipo kwa Grid
  7. albab

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Boss wa Wasiojulikana kamnyoshea mikono juu Askofu Gwajima?

    What if nae ni sehemu ya mpango
  8. albab

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    Kajielimishe kwanza urudi upya aliekwambia ni bunge lililopiga kura ni nani??
  9. albab

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    Yan kamati ya bunge iwekee nchi vikwazo??? Huenda mimi std 7 nina akili timamu kuliko wewe
  10. albab

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    Kama tulisurvive kipindi cha JPM hata hiki tunatoboa kipindi kile mambo yalikua magumu hasaaaaaaa walioko jikoni wanajua.
  11. albab

    JamiiForums Tanzania Daaaa! Nimekumbuka viburi vya Job Ndugai na Hayati Magufuli dhidi ya upinzani hasa CHADEMA

    Ni nani hakua na kibri na akaishi milele??!
  12. albab

    JamiiForums Tanzania Kauli ya 'Matako yao' ipo hata kwenye wimbo ambao Naibu Waziri ameshiriki kuuimba, we msajili wa Vyama ukoje?

    Kuna mtu alitumia neno NGUCHIRO alishukiwa na viongozi na wanaharakati wote emagine angesema MATAKO YENU si mngeiua familia yake.
  13. albab

    JamiiForums Tanzania Serengeti Boys yatinga Fainali ya AFCONU17 2026, baada ya kumuondoa Misri kwa mikwaju ya penati

    Wamepambana na ilikua tuwatoe mapema sanaaa
  14. albab

    JamiiForums Tanzania Kombe la Arsenal, EPL lapelekwa Kenya, bongo tunafeli wapi?

    Uliona event yao baada ya arsenal kuchukua ubingwa lakini???
Back
Top Bottom