Recent content by albab

  1. albab

    Ukiwa mkweli kabisa kutoka moyoni, How are you? Unaendeleje na hali?

    Naumia sana kushinda kuacha betting
  2. albab

    Vipi kama Makonda anatengenezwa kwa kazi maalum?

    Umemaliza.....
  3. albab

    Vipi kama Makonda anatengenezwa kwa kazi maalum?

    Kwann sijamuhusisha na CCM unadhani??
  4. albab

    Vipi kama Makonda anatengenezwa kwa kazi maalum?

    Kuna sehemu hujanielewa Bondpost maana halisi ya huu Uzi ipo sentensi ya mwisho kwenye kauli ya mama ukishindwa kung'amua hapo hutanielewa
  5. albab

    Vipi kama Makonda anatengenezwa kwa kazi maalum?

    Vyama nimetaja hapo..... Alafu fikiria akaunganisha nguvu na POLE POLE🤣🤣
  6. albab

    Vipi kama Makonda anatengenezwa kwa kazi maalum?

    Mawazo mazuri ila vip kama??
  7. albab

    Vipi kama Makonda anatengenezwa kwa kazi maalum?

    Sawa mkuu unaumri gani kiongozi....
  8. albab

    Vipi kama Makonda anatengenezwa kwa kazi maalum?

    Umenena.... Wapo wanakanusha Moja Kwa moja wanasahau ya HAYATI LOWASSA
  9. albab

    Vipi kama Makonda anatengenezwa kwa kazi maalum?

    Na wengine wakashindwa kung'amua kakitu kadogo sanaa
  10. albab

    Vipi kama Makonda anatengenezwa kwa kazi maalum?

    Najaribu kuwaza...🤔 Tumeona Makonda akitoa kauli mbalimbali ambazo kimsingi si rafiki Kwa baadhi viongozi wa Chama na zinatishia uwepo wa viongozi hao ndani CCM. Nina imani Kuna kitu nyuma ya hizi vurugu za Makonda kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 mpaka sasa Kwa kiasi kikubwa jamaa anawatu na...
  11. albab

    Israel yataka Vikwazo dhidi ya Mradi wa Makombora wa Iran

    Yani anapanga kulipiza ila pia anaomba vikwazo🤣🤣 sasa akilipiza nani atamuombea yeye vikwazo
  12. albab

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    U Sahihi
  13. albab

    Nipeni ushauri kutokana na uzoefu wenu katika ujenzi

    Mkuu vyumba vinne kwanza sio nyumba ya kawaida ni kubwa hapo hujaweka vikolokolo vingine kama vyoo, jiko nk. Ushari. Hiyo fedha iweke kwenye msingi uukamilishe (kuwa na usimamizi mzuri mana inatosha hasa Kwa Dar bado bei za bidhaa zinavumilika) Jenga sasa mana sio muda kutakua na ongezeko la...
Back
Top Bottom