Nadhani muandishi ungejiridhisha ukajua shida ni nini hasa. Geita mpango wa stend upo tangu 2022 kama sikosei na eneo lilitengwa Buhalahala (upande wa pili wa ilipojengwa H.Manispaa ya Geita. Swali ni je ule mpango uliishia wapi mana 2024 ilisemekana fedha zipo na michoro ilikua imekamilika...
Habari Wakuu...
Kwanza nianze kwa kusema mimi ni mgeni kwenye field hii ya magari ila natamani kupata usafiri siku kadhaa mbele.
Chaguo langu ni toyota (kwa sababu ni gari yangu ya kwanza naamini sitosumbuka sana).
Nimewaza gari ya kifamilia zaidi na ngumu ambayo pia ni fuel economy. Katika...
Hizi ni sababu tu....
Note. Tuna make move ya Venezuela tunakamata reserve kubwa ya mafuta... Then Iran ambae anasupply mafuta kwa bei rahisi sana na kwa zaidi ya asilimia 80 kwa Mchina.
Tunamuumiza mchina for the long run... Sisi tutaumia kwa muda kidogo ila baada ya hapo ni shangwe. SMART...
Chama kinatumia gharama kubwa mahakamani sina hakika kama walishawahi kukaa wakatathimini hili.
Wajinga watailaumu serikali, wapumbavu watamtaja SAMIA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.