Recent content by alawa

  1. A

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Kweli naenda kulala,lakini kweli yenyewe haitalala.
  2. A

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Hayo ndo majina yaliyopitishwa na ccm kuingia tano bora. Usiku mwema wajameni.
  3. A

    Dalili zinaonyesha Danni Makanga kibarua kimeota nyasi.

    Kuna habari zimezagaa kasulu kuwa DC amepewa barua ya kusimamishwa kazi. Mwenye habari kamili atusaidie.
  4. A

    Rais Kikwete hatufai

    Kazi yako ni nini hasa? Jamani mniwie radhi,hiki ki- j.i .bwa nakichukia sana,hakijawahi kuwa fare,kila kitu kinatetea tu. Hivi wewe ni mtanzania kweli?
  5. A

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Kajijini kwetu Kenyamonta wilaya ya Serengeti mkoa wa Mara,kuna vitongoji 5 Chadema walisimamisha wagombea ktk vitongoji 4, ccm walisimamisha wagombea vitongoji vote. Matokeo; M/kiti wa kijiji, ccm kura 36, cuf kura 48 na cdm kura 736. Vitongoji ; ccm 1, cdm 4. Asanteni.
  6. A

    Kijijini kwetu nimeanza kuhamasisha wasitoe mchango wa ujenzi wa maabara, Je! Nitakuwa nina makosa?

    Ulitakiwa kuomba ushauri kabla hujaanza kuhamasisha.
  7. A

    Kingunge Ngombale nae amshukuru MUNGU

    Kwa bwana kila goti litapigwa!
  8. A

    Asenga vs Upendo Peneza nani jembe?

    Usiniambie Mimi habari za asenga,eti umlinganishe na upendo? Asenga ni mweupe mno kichwani Sijui kwanini uvccm wanaamua kumwacha akawawakilishe huku wakijua anaenda kupambana kwa hoja. Wakati mwingine huwa namhurumia,hajitambui jamaa.
  9. A

    Mbowe anafunika hapa Gairo muda huu

    Nyie ndo mnamlea,uliza wakurya wanaofanya biashara ya nguo pale gairo,wanaoishi kwenye guest bovu la CBS,siku moja tulimchapa mboko za hatari huyu m.b..wa, alituita walevi, acha tumchape mboko ilikuwa sokoni ungu road. Alikimbia huyo. Alisaidiwa na polisi mmoja mmasai kituo cha gairo. Mchapeni...
  10. A

    DC na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wanusurika kuchomwa moto

    Amekosa nini sasa? Prostate ni tusi?
  11. A

    DC na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wanusurika kuchomwa moto

    Makanga anajikomba sana kwa bwana wake,ndo maana anafanya shughuli za chama waziwazi.
  12. A

    DC na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wanusurika kuchomwa moto

    Hata ile situation iliwachanganya sana. Ilitosha kutoa ujumbe.
Back
Top Bottom