Recent content by Al-watan Musa

  1. Al-watan Musa

    JamiiForums Tanzania Yupi mwenye upendo wa dhati?

    Mapenzi ni baina ya jinsia mbili- mwanamke na mwanaume, Ijapo ni Mara chache hutokea mwanaume na msichana wakapendana mapenzi ya dhati na kuvumiliana katika shida na raha. Ila yapo machafuko katika mahusiano ambayo hadi Leo bado haijajulikana chanzo ni msichana au mvulana na hata maoni ya watu...
  2. Al-watan Musa

    JamiiForums Tanzania Wanaume acheni tabia ya kusema tunatoa harufu sehemu za siri, baadhi yenu mna shahawa zenye harufu kali

    Tatizo la mbio za panya ni kwamba hata ukishinda bado utabaki kuwa panya
  3. Al-watan Musa

    JamiiForums Tanzania Mama Kanumba afurahia mpaka machozi hukumu ya Lulu, asema anaenda makaburini moja kwa moja kumzika rasmi

    Kwa wasioijua jela wataona miaka miwili midogo, Kule hata ukae week moja tu shuguli utaipata
  4. Al-watan Musa

    JamiiForums Tanzania Anatafuta mchumba, lakini ole wako ukimsaliti

    Unazan kuna MTU anapenda kuingia ktk domo LA mamba?? Hapo ni sawa na jela
  5. Al-watan Musa

    JamiiForums Tanzania Aslay BMW vs. Diamond BMW

    Asilimia 90% za bifu la wasanii zinatokana na mashabiki
  6. Al-watan Musa

    JamiiForums Tanzania Funguka: Tangu uanze kutongoza/kutongozwa hapa JF, umefanikiwa mara ngapi?

    Inategemea MTU alijiunga JF kwa lengo gani? Wengine tumekuja Ku share idea hayo mambo ya kutongoza sjui nini? Nahis wahusika wataji explain
  7. Al-watan Musa

    JamiiForums Tanzania Mwili kuwa na umeme baada au wakati wa kufanya mapenzi

    Daaa! Aisee ni sheeda
Back
Top Bottom