Kwa niaba ya Taasisi ya Al-Hikma foundation tunatanguliza shukrani zetu za dhati kwa kujaa kwa wingi uwanjani na kuitikia wito kwa ajili ya MwenyeziMungu, pia tunawataka radhi watu wote walioshindwa kuingia kutokana na uwanja kujaa, haikuwa dhamira yetu. Mwisho kabisa tunamuomba Allahu Subhana...
Kumradhi ndugu yangu, na ndugu wote waliouliza juu ya live coverage ya kwa local stations, haikuwa nia yetu kudharau swali lenu ila tulikuwa Tunasubiria uhakika wa jambo husika na kwa kipindi hiko tulikuwa bado halijakamilika. Ila uhakika kwa sasa ni kuwa Azam TV wataonyesha live... Ila karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.