Billion 10 Duuuh, Ila Kama Ni kampuni Basi sio shda Sana Mana kweny return ya Ile 30% ya Kodi ya faida inakatwa . Ko Ni Kama mchezo tu badala ingelipwa Kama Kodi Sasa imekatwa Kama expenses au charity .
Wametoa mfuko wa Shati wakaweka wa surual.
Tuloumia Ni watanzania hii Kodi ingefanya...
Alibaba ndio wanapatkana supplier wa kchina na ndo weny viwanda , Sasa ultaka nikanunue kariakoo wakati mi npo distribution level,
Watu wa kariakoo Ni distributor tu.
Haf kumbe wew bdo Sanaa enhee!! Yani uondoe system ya distribution na wholesale kvp?
Mfano Mimi nanua container 5 za mafuta ya kula nje haf kila kontena Ina tani 28 kwa ujumla wake Ni kma hvii...
28ton×50 Jerrycan per ton=1400jerrycans , kwahyo container tano Ni madumu 1400×5=7000 madumu.
Kwahyo...
We ni mjinga kumbe!! Yani huo mfumo umepitwa na wakati??
Angalia vwanda hapa nchini Kama Wana ujinga huo wa wachina!
Tena ukitaka kujua thamani ya kiwanda ,jaribu kununua mzigo kutoka kiwanda Cha hapa. Nchini ndo utajua maana ya kiwanda jinsi utakavyo kutana na masharti magumu ya kununua mzigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.