Baada ya muda mrefu kwa kampuni yetu ya AL ADAWY INDUSTRIES kuwa imesimama shughuli zake za uzalishaji wa Sabuni za miche, sasa kampuni hii itaanza shughuli zake rasmi kuanzia mwezi wa sita 2017.kwa yeyote mkazi wa Mbeya na Kigoma tunakupa fursa ya kuuza mafuta ya Mise yanayotumika kutengeneza...
Nimesikia wafugaji wengi wa kuku wa mayai wakisema huwa wanakusanya mayai asubuhi na jioni kwakuwa kuku wa mayai hutaga mara mbili kwa siku.je hii ni kweli?
Kiutaalamu sikushauri kurundika kuku zaidi ya 9 wenye umri wa kuanzia wiki 5 na kuendelea.hii itasababisha kuku kukosa hewa ya kutosha na kusababisha vifo vya kuku wengi au kushindwa kukua kwa namna inavyotakiwa
The meaning of this is:pesa yako unayoiweka fixed maana yake huwezi kuitoa unaiweka kwa malengo.
hivyo pesa hiyo unayoweka wao hutumia katika miradi yao mingine.katika upatikanaji wa faida ndani ya mwaka mmoja wanakugawia faida kutoka katika faida waliyotengeneza, hii ni sawa na kuwekeza pesa...
Habari ndugu zangu, ninaomba kufaham kama suala la kufuga kuku wa kienyeji kwa muda mfupi kama wanavyofugwa kuku wa kisasa wa nyama linawezekana?. Nahitaji kufuga kuku wa kienyeji kuanzia wakiwa wana siku moja na wakifika wiki 6 au 8 nianze kuwauza. Tafadhali kwa yoyote mwenye uwelewa naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.