Msaada tafadhali kwa wale wa SUA ambao tayari mmekwisharipoti chuoni, tafadhali naomba mtufahamishe sisi ambao tutachelewa suala zima la usajili hapo chuoni likoje..
Kwa muda mrefu ndani ya jukwaa hili f,thread nyingi zilihusu tcu na bwana mkubwa heslb,lakini naamini siku ya leo bwana heslb amekuja kufunga mijadala hiyo..pongezi kwa waliobahatika kupata mkopo na poleni ndugu zangu mliokosa..sio mwisho wa maisha..
tukutane SUA Bsc.Horticulture
namfaham xana shulla alkua mkuu wa tosamaganga kabla ya hapo..Popote alipo huyo bwana hapakos matatzo--anauwezo mzur wa kuwaunganisha walmu lakn huwa anawakandamz xana wanafunz.
According to tcu ni takriban wanafunz elfu nane na ushee wamekosa nafas awamu ya kwanza,iz it possible kwa kund hl lote likakosa kabsa???
hebu 2ambizane bac huo mwaka 2011 n wanafunz wangap walkosa mkopo!!? wanafkia idad hii!?!?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.