Recent content by Akwisombe

  1. Akwisombe

    Msaada Jinsi ya kupata antivirus

    mwl.CRt na mimi naomba unisaidie maana Avg inanisumbua
  2. Akwisombe

    Hali ni mbaya Chuo cha Sokoine.

    mpaka mnyooke............nendeni mkakope PECAM c ndivyo mlivyoshauriwa
  3. Akwisombe

    Serikali yafuta division 5.

    Serekali yetu mbona haina msimamo...........kigeugeu tu mnawazingua madogo
  4. Akwisombe

    Kwa wadau wa SUA mliokwisha ripoti chuoni

    Msaada tafadhali kwa wale wa SUA ambao tayari mmekwisharipoti chuoni, tafadhali naomba mtufahamishe sisi ambao tutachelewa suala zima la usajili hapo chuoni likoje..
  5. Akwisombe

    Tupia topic ambayo huitaisahau advanced level kwa physics

    Physics ya advance ni noma sana hasa kwa sisi tuliosoma PCB pamoja na BAM
  6. Akwisombe

    Majina ya Waliopata Mikopo ya Elimu ya Juu 2013/2014 HESLB yatoka, Billion 306 zatengwa

    Kwa muda mrefu ndani ya jukwaa hili f,thread nyingi zilihusu tcu na bwana mkubwa heslb,lakini naamini siku ya leo bwana heslb amekuja kufunga mijadala hiyo..pongezi kwa waliobahatika kupata mkopo na poleni ndugu zangu mliokosa..sio mwisho wa maisha.. tukutane SUA Bsc.Horticulture
  7. Akwisombe

    Unajua physics ww hebu chek na hii

    mleta mada anakimbizwa huyo!!!!!
  8. Akwisombe

    Wale wa Sua tufahamiane humu

    mi npo bachelor of science horticulture
  9. Akwisombe

    Wanafunzi Ilboru waendelea kugoma

    namfaham xana shulla alkua mkuu wa tosamaganga kabla ya hapo..Popote alipo huyo bwana hapakos matatzo--anauwezo mzur wa kuwaunganisha walmu lakn huwa anawakandamz xana wanafunz.
  10. Akwisombe

    Siri nzito yavuja wizara ya elimu

    mchz we n nouma!!!!!! Cha wap Icho mwanangu!??!!!
  11. Akwisombe

    Awamu ya pili hatihati kukosa mkopo!!!!

    According to tcu ni takriban wanafunz elfu nane na ushee wamekosa nafas awamu ya kwanza,iz it possible kwa kund hl lote likakosa kabsa??? hebu 2ambizane bac huo mwaka 2011 n wanafunz wangap walkosa mkopo!!? wanafkia idad hii!?!?!
  12. Akwisombe

    tcu nimewaelewa sasa

    Wale wa second round tunaandikiwa processed na first come first served
  13. Akwisombe

    TCU mbona hawaeleweki?

    that means u wll have to apply for the secnd round b4 9 august otherwise imekula kwako
Back
Top Bottom