xir jyerphy
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 994
- 184
Baada ya kuandika form 4 index number,kilichofuata ni manyota nyota tu...
Yani page haifunguki...
Yani page haifunguki...
jaman mm imefunguka bt majibu yalioniletea hata sijui au ndo nimekosa jaman et inasema THIS FORM 4INDEX NUMBER Z NOT SECURE FOR LOAN APPLICATION 2O13-2014 Daah au mbna sielew yaan
huna mkopo
Baada ya kuandika form 4 index number,kilichofuata ni manyota nyota tu...
Yani page haifunguki...
Yeah mi mwenyewe nimeonawametoa??
Yeah ni first yeahHiv n for first year au??
Page iko slow sana let's wait
Duh kwa speed ya net yangu. nimeshindwa
wametoa naskia ila page yao nw inaload sana
usìhofu yatafunguka tu.!ila kwa sasa kuna database error!
Kwa Tuliowahi Tulitazama toka Saa 11 jioni.
MUNGU MKUBWA HAKUNIACHA MAANA NIMEPATA ZAIDI YA NILICHOTEGEMEA.
Dah,THANKX GOD!
Baada ya kuandika form 4 index number,kilichofuata ni manyota nyota tu...
Yani page haifunguki...
Loh loh moyo wangu tulia....
Presha inapanda presha inashuka...
I've already busted a nut,lots of semen..ni balaa
huna mkopo
shosti mwenzio nimepata mkopo!
Utakutana na jedwali kama hili so utajua kama umepata nini na umekosa niniSodoka kama unajua nsaidie,mtu anaweza pata asilimia 0,ambayo ni ya fee!lakn boom anapata hapo mtu atajuaje?