Hongera sana kaka kupata mtoto anayekujalai kiasi hicho.... maisha ya utotoni yana raha sanaaa na yana furahisha sana. Endelea kuwabkaribu na mwanao akuwe katika mazingira hayo hayo.
Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
Sababu kubwa ninayojua kutokana na utalamu wangu ni kwamba watanzania kutembelea hifadhi ni garama kwetu badhi kwa maana ya kwamba garama inakuja kwenye usafiri. Usafiri namna ya kufika katika hio hifadhi ndo kinachowashinda wengi, kingilio cha mtanzania ni 5000 na gari ni 20,000. Hicho hata...
Hii ni hali halisi ya barabara ya mbezi beach B katika kata ya kawe, pembezoni ya shule ya F.K Intetntional. Hii barabara huwa inatengenezwa na wasamaria wema wakazi wa mbezi kila itokeapo mvua tu haifai kupitika. Sasa wapita kwa magari utumia njia ya mkato kuchepuka nje ya geti la shule hii na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.