Recent content by akuniki

  1. akuniki

    Gharama za safari ya Lowassa Bukoba ni kubwa kuliko mchango aliotoa (mifuko 400 ya saruji=6M)

    Haha haha, mchezoooo huuuuuuuuuuuuuu, Hauitaj hasirAaaaaaaaa
  2. akuniki

    Tangazo muhimu kwa kila Mwanachadema na Watanzania wote

    no comment napita tu, lakn ningependa kuona viongoz wakiwa mbele juu ya hili
  3. akuniki

    Tundu Lissu kutetewa na mawakili 17, aongea neno baada ya kuachiwa

    Wanasiasa ni watu wa kuogopa kama ugonjwa wa ukoma, furaha yao ni kuona wananchi hasa wa hali ya chini wakiangaika na kuamasisha machafuko. Wananchi wenzangu tuwen makin sana na wanasiasa
  4. akuniki

    Tulia Ackson Mwansasu, PhD, ananikumbusha mbali sana

    kwa akili yako unafikili vitendo anavyofanyiwa Tulia na Ukawa ungekuwa wew ungevumilia au ungefurahi, Achen ushabik mchwala. Sasahv Ukawa wana mnyanyapaa yule Mama waziwaz hadi imefikia hatua wamekataa chakula cha wazir mkuu et kisa Tulia Akson yupo
  5. akuniki

    Sakata la UDOM na majibu ya rais Magufuli: Siasa imenishinda, natangaza Kustaafu rasmi

    Nafikili watanzania tuanze kujenga tabia ya kuwa tunafatilia mambo, baada ya mgomo wa wanafunz wa UDOM, magufur anasema ndipo alipata fursa ya kujua kuna nini Pale Akagundua kuna mapungufu makubwa katika swala la kudahili wale wanafunz weng wao hawana sifa ndipo Akaamua wote warudishe nyumban na...
  6. akuniki

    Maoni ya Zitto Kabwe baada ya Rais Magufuli Kumfuta kazi Waziri Charles Kitwanga

    chezea mshahara usichezee kaz, ukifatilia vzr majibu ya wazir kitwagwa pind anajib swal bungen ni waz hakuwa sawa, for me president kafanya jambo sahihi kabisa
  7. akuniki

    KUB, Mbowe auchambua utawala wa CCM chini ya Magufuli: Umejaa uvunjifu wa Katiba, Sheria

    Kiukwel ni hoja nzr, coz bunge linahaki ya kusimami, kukosoa, na kuiyelekeza serikal, tatzo Maguful anaona kama anachelewa, akitaka fanya jambo hadi akuletee upitishe. Hapo kuna kaz kwel kwel, Magu yeye anaelekeza pesa kwenye maendeleo tu, Tatzo wapinzan wanapenda sana wasikike sasa bunge live...
  8. akuniki

    DC Polepole aenda Supermarket na Kundi la Polisi

    Msameen bure ni kaz yake ya kwanza kwenye nyadhfa za juu kama hzo
  9. akuniki

    Kambi ya Upinzani yasusia Bunge, watoka nje ya ukumbi

    Wasusie tu, kikubwa uhai na Aman
  10. akuniki

    Usanii Suala la Kabwe na Ujanja wa Kizamani wa CCM

    Sioni haja ya mtu kutoa uzi akilaumu maamux ya zaman kikubwa sahv anatuhumiwa na ubadilifu je uongox wa juu umechukua hatua gan.na hapo ndipo utampa magu crdt
  11. akuniki

    Rais na First Lady wanalipwa posho ya safari kwa matumizi gani hasa?

    Tujarb kuangalia mambo yanayo tuhusu hususan ni ya kijamii, achana na mambo ya ikulu utaonekana mshamba tu rais ni level nyngne ni nyadhifa ya juu kabsa sasa unahoj nn, na umemsikia mwenyew akisema hapend kusafir coz anabana matumiz, uhur tulio nao usipite kipimo
  12. akuniki

    TUCTA na Vyama vya Wafanyakazi, huu ndo muda wa kutetea wafanyakazi. Acheni kuwa mabubu, hali mbaya

    Very poor idea Andamana mwenyew, kwa mantik hyo unasuport classes iendelee kuwepo na gap kubwa kati ya walio nacho na wasiokuwa nacho.
  13. akuniki

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    Naomba kuuliza Kwan ni mara ya kwanza MCC kutoa msaadat was tril1.2 Kikubwa kipi kimefanyika tofaut na wachache kufaidika na kupiga, inawezekana wanao ongea sana nimiongon mwa wale walio kuwa wanafaidika na msaada wa mcc"am sorry nagusa tu"
  14. akuniki

    Hadi leo sijaelewa faida za utumbuaji wa majipu

    Ilikujua maana halisi ya majip rais anamaanisha nini sikiliza hotuba aliyo hutubia mahakama, anataka maakama wafanye kaz yake, mtu afanyiwe uchunguzi, akikutwa na hatia sheria ifate mkondo wake, let yu wait ma braza soon tutapata positive result ya majip
Back
Top Bottom