Nilidhani wachangia mada wangejibu hoja kwa hoja, ninachokiona ni matusi na maneno yasiyo na mashiko! Ili tuitendee haki nchi yetu na wananchi wake, tujikite zaidi kwenye hoja. Sijaona hata mmoja aliyetoa hoja mbadala ya yale ambayo mtoa mada ameyaorodhesha kama maeneo ya kifisadi yanayomgusa...
Napiga taswira ya kuwa EL amekuwa rais kama anavyotamani. Na inafika sikukuu ya kitaifa ambapo rais EL anatakiwa akague gwaride na kulihutubia taifa. Rais EL anaingia uwanja wa taifa akiwa amesimama kwenye gari la wazi hadi jukwaa kuu. Rais EL anatakiwa asimame kupokea guard of honour, akague...
I read this interview and sincerely, there is nothing new! the same old story...the past plans were bad, "guys, here i come with super plan"...till when our leader will stop planning and tell us the real achievements? For instance, Dar es Salaam is dirty, dirtier than Kigali and Kampala. Our...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.