Habari wanajamvi, napenda kuwasilisha mada tajwa.
Mimi nilikuwa nawazo ya kufanya biashara ya samaki wabichi sato na sangara kuuza kwa jumla sana sana kwa ma butcher na mahotel kwa kuanza sitakuwa na sehemu maalum, yaani duka nitakuwa natafuta order baada yakupata order na supply direct kwa...
ipo brand new toshiba 2gb ram 500gb hdd.procesor celeron screen 15 inch color silver with bag bei 680,000
pia kuna Lenovo 2gb ram 500gb hdd.procesor celeron screen 14 inch color silver with bag bei 640,000
contacts 0784710555, kama sitapatikana hewani tuma text pls
habari, natafuta htc m8 original internal memory 32 gb used,iwe ktk hali nzuri isiwe na michuboko na ubovu wowote.Budget yngu laki 5.mwenye nayo aweke contacts zake ntamtafuta,sihitaji clone original tu...
Salaam.laptop yangu niliweka win 8.1 pro baadae nikaamua kubadilisha nikaaenda kwenye settings kwenye option clean everithing sasa ikawa inachukua muda na inakwenda vry slow nikaamua kuizima na kuwasha tena ili niende kwenye options zingine baada tu ya kufanya hilo.inaandila PREPARING AUTOMATIC...
CAR FOR SALE FOR TSHS.11.5 MILLION
SUBARU IMPREZA MODEL JF1GDAKD. YEAR OF MANUFACTURE 2002
INGINE CAPACITY 1994, FUEL USED PETROL. Number of AXLES 2
CALL/TEXT 0784710555. LOCATION DAR ES SALAAM.
kwa wale wasiojua in short,ktk Uislam wanandoa wanaomba dua ya kumwepusha
Shetani nao na kile
watakachoruzukiwa kwa tendo hilo
(mtoto). Dua ni kinga ya waumini.
kama muislam kakosea basi Mface huyohuyo na si kushaif dini,maana dini inatujumisha waislamu wote.Pia nakukumbusha,Mungu tu ndio ata Judge nani yuko sawa na nani hayuko sawa na si wewe wala mtu yeyote.
Halaf unasema sijui 'UFICho' unaamanisha nini?
Kama kitu hukijui ni bora ukaka kimya au...
Ndugu Mlaleo,tafadhali usikashif dini.jama kafahamisha jamii kuwa ktk Uislam Dua ipo.sasa hapo Mtume kajaje tena?na wake wanne imetoka wapi?kama ulikuwa hujui ungeuliza kiustarabu.
mambo vp,nina subwoofer aina ya seapiano.ilianza na matatizo ya bass,yani ukiweka base inavuma sana ila bila bass inapiga kawaida.nikampelekea fundi akasema hio ni ac akatengeneza ikawa haiwaki kabisa hata taa haiwaki.fundi wa pili akatengeneza ila sauti ikawa sio kama vile ya mwanzo yaani bass...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.