Recent content by AKOMUGISHA

  1. A

    JamiiForums Tanzania Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    Kwa Tanzania vyama vya siasa kuungana Ni shida sana coz wana uchu Wa madaraka na Kila mtu anataka madaraka yeye.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    Mambo ya siasa mwaka huu ,Mh! Full mvurugano.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Msichana wa kazi amzidi mke kuhudumia familia - kina mama badilikeni

    Ni Tania tu chafu ya baba. Hasingekuwepo house girl angechujua sheneji yake. Acheni visingizio.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaojiua wengi wao hawanywi Pombe?

    Kwanza ni wabinafsi Wa mawazo, kutokana na hili wanapokuwa na shida udhania wao ndio Wa kwanza kupata shida hiyo, hivyo kimbilio ni kujiua. Walevi wakishalewa Mara nyingi uwa open na mambo yao na hujikuta wakipewa mawazo na kugundua Sio wapo Wa kwanza Kuwa na tatizo hili.
Back
Top Bottom