mimi binafsi nakupongeza kwa creativity especially ninapoona vijana wenzangu ambao wako creative. big up kaka,keep going usikatishwe tamaa. tunahangaika ajira tatizo kila siku, je hata creativity tu as an alternative to unemployment nalo pia ni tatizo? hapana! we need to wake up guys. ni mtazamo...
Hello ndugu zangu wana JamiiForums,
Natumaini wote ni wazima. Mimi pia ni mzima. Binafsi si mkongwe sana JamiiForums lakini lazima nikiri kuwa JamiiForums imenifungua mengi sana na kunisaidia katika mengi kwa namna moja au nyingine. Kama ilivyo kwa wengi na mimi pia nilikuwa katika mahangaiko...
Du kumbe hata website ya law reform commission of Tanzania imekuwa hacked pia na hacker ni huyo huyo mmoja. jamaa inawezekana ana mpango wa kuhack website nyingi za serikali.
Jaribu kuopen website ya law reform commision of tanzania utakutana na same output/message kama ya bodi ya mikopo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.