Hapo wendi hajashinda kesi bali upande maombi yamewasilishwa na Upande wa Serikali kutokuwa na niya ya kuendelea na shauri.
TATIZO HUWA LINAANZIA WAPI??!
kwa kweli tatizo ni kwa Wananchi, tukio linapotokea wananchi au jamii haitoi ushirikiano kwa vyombo vya uchunguzi na ushahidi mahakamani.
Watu...
pole sana!,umekosea njia,umeshindwa kujua mtu atafutiwi kazi bal huwa anatafuta mwenyewe
,umesahau DILPLOMA inasoko zaid ya degree,
ungetafuta kaz kwanza ndo usome, wee komaaa na degree yako alafu baadaye utanielewa,
umesahau MUNGU ndiye anayempatia mtu mke na kaz pia
Hujachelewa mpe...
yaan ww n bora ungeandika kiswahili tuu,tatizo lako unafikir ukiandika lugha ya kigen utaonekana bora,hopo hujaandika ki2 na hujapangilia maneno ili yalete maana
WAduu mmechangia point ambozo pengine ntaziunga mkoko, mm cjaowa na ninafikiria kama ingekuwa mm nngefanyaje .
cha kwanza naona kutakuwa na sababu kama mlivyosema.
kitu kingine n kwamba mwanamke anaweza kujihamulia hivyo.
kama nngekuwa mm nngenunu vitu vingine na kumuowa mke mwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.