Recent content by Akilimali85

  1. Akilimali85

    JamiiForums Tanzania Wanawake, wallahi wanajua kuomba pesa, na hawachoki!

    Chaputa haijafa dadaa
  2. Akilimali85

    JamiiForums Tanzania Nyoka aina ya Black Mamba mawindoni

    Snake in the city..angalia vizuri akiwa anamkamata black mamba huwa anamshika kwa makini na gloves na hutumia mushikio spesho hamshiki black mamba na bare hands.. It is the real show..!! Kingine naweza kukubaliana na yule member aliesema yule nyoka wa kweny ile clip sio black mamba coz black...
  3. Akilimali85

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amenipiga picha za makalio na kuzisave kwenye gallery

    Tumpakie nani mafuta
  4. Akilimali85

    JamiiForums Tanzania Mawazo yenu tafadhali, nakaribia kuacha kazi

    Baba ndie wa kufanya kaz na kuleta chakula ndani..!!! Kabla ya kuacha kazi jiulize hili: A) Mshahara wako una effect yeyote katika familia yako,namaanisha kwa mumeo na watoto wako na upande wa ndugu zako je wanakutegemea..? Kama ni ndio hapo kuacha kaz inabidi uwe na plan B ambayo itakua ina...
  5. Akilimali85

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza camera holder

    Camera holder: Condition: ni used kwa mwezi mmoja, sawa na mpya.!! Carrying capacity:Dslr cameras,mirrorless cameras croped and full sensor cameras. Location: tabata kinyerezi Price: 55000tsh. Contact 0713956901
  6. Akilimali85

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Unachekesha Kuwa na cheti cha jkt ndo uzalendo..?? Umepotea[emoji41][emoji41]
  7. Akilimali85

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa namna ya kukusanya mafao NSSF

    Iko hivi kwa info chache niliyonayo..!!! 1..kaombe statement nssf uhakikishe michango yoote muajiri wako alikuwekea. 2..kama kuna Gaps zozote omba muongozo palepale watakuelekeza ama kukupa form umpelekee muajiri wako aandika receipt number (kama muajiri anadai alikuwekea michango yote ya miez...
  8. Akilimali85

    JamiiForums Tanzania Anaefahamu kuhusu biashara ya Uber, Bolt na Indrive

    Kama kuna mtu yeyote ambae anafahamu kampuni ambazo hutoa magari ya mkataba kwa ajiri ya biashara kama #uber #bolt na Indrive anifahamishe tafadhali. Isipokua: FMG TANZANIA Inc.[emoji3] [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
  9. Akilimali85

    JamiiForums Tanzania Kuna anaewaelewa hawa Alistair group?

    Hilo li test nshalifanyaga na nilijibiwa vivyo hivyo lakini kimya mpaka leo[emoji3][emoji3][emoji3]
Back
Top Bottom