Recent content by Akilihuru

  1. Akilihuru

    The best comedians ever in our country.

    Naomba radhi nilikosea kianduka jina mkuu.
  2. Akilihuru

    The best comedians ever in our country.

    Who is this?
  3. Akilihuru

    The best comedians ever in our country.

    Mkuu nimeweka wa kale na wa sasa, hebu soma vizuri niliowaandika.
  4. Akilihuru

    The best comedians ever in our country.

    Why wafute uzi na wakati nimeruhusu wachekeshaji wengine waongezwe hapo chini?
  5. Akilihuru

    The best comedians ever in our country.

    Mkuu nimeruhusu list iendelee hapo chini. Au haujasoma uzi wote?
  6. Akilihuru

    The best comedians ever in our country.

    Naam wala haujakosea mkuu.
  7. Akilihuru

    The best comedians ever in our country.

    Nimeruhusu muongeze list hapo chini mkuu.
  8. Akilihuru

    The best comedians ever in our country.

    Wapo hapo kwenye list mkuu.
  9. Akilihuru

    The best comedians ever in our country.

    Inategemea na mchekeshaji mwenyewe ni nani na wa aina gani mkuu.
  10. Akilihuru

    The best comedians ever in our country.

    Hii ndio list ya wachekeshaji bora wa aina zote katika nchi yetu, yani kuanzia kwa waliofariki hadi waliopo hai. Kama kuna wengine ambao sijawaweka kwenye list basi naomba uwaorodheshe hapo chini ili kuutambua mchango wao na vipaji vyao katika taifa letu. 1. Amri Athumani (King Majuto) RIP. 2...
  11. Akilihuru

    Tumalize ubishi wa miamba hii ya muziki nchini kati ya Chidumule, Bitchuka na hayati TX Moshi, nani alikuwa mtunzi na muimbaji mzuri?

    Swali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka. Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu? Au Cosmos Chidumule? Au hayati Tx Moshi?
  12. Akilihuru

    KERO Responded Kuna mgawo mkali wa maji unaoendelea kimyakimya jijini Dar, Waziri Aweso unafahamu hili?

    Hapo waziri wa maji na viongozi wote wa dawasa wanatakiwa kutumbuliwa na kuteuliwa wapya. Maana wengine washafanya shida za watu kama mtaji wao kwa kukata maji na kuwauzia wengine kimya kimya. Aweso ni waziri mzuri wa kuongea na kupiga mikwala ya hapa na pale lkn kuwashughulikiwa washenzi na...
  13. Akilihuru

    Ivi hili inawezekana kwel? Ebu ndugu zangu njooni mtusaidie.

    Niliisikia hii wanaita eti fake pregnancy. Ila sasa kuna mwanamke fulan anadai kwamba yeye pia alikuwa na hili tatizo hadi akawa anahisi ni mimba feki. Lakini baada ya miezi 4 ndo akaja kugundua kwamba ana mimba ya miezi mi4. Ila hapo kabla vipimo vyote vya nyumbani na hospital vilionesha kuwa...
Back
Top Bottom