Recent content by akili mwili mzima

  1. A

    JamiiForums Tanzania Nitamsemea na kumtetea Rais Samia hadi dakika ya mwisho kutokana na kazi ya kitume anayoifanya

    Uwe unamsaidia na ile shughuli anayompa mzee Amir, sawa???.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu akutana na Yvone Chakachaka

    Dr wa nn na aliusome chuo kipi...tuanzie hapo kwanza
  3. A

    JamiiForums Tanzania Balozi Possi: Mwandishi aliyepewa tuzo ya Makala ya Oktoba 29 ni ya kiharakati zaidi

    Kumbe hata albino anaweza kukosa kuwa na utu?? Au ni njaa tu jamani
  4. A

    JamiiForums Tanzania Prof.Kitila : Halmashauri Zimeacha Wajibu wao wa Kuchochea Shughuli za Uzalishaji na kujikita Kuunda Tozo ambazo ni kero wa ustawi wa Wananchi

    Leo nakuunga mkono kwamba nchi hasa za dunia ya tatu kama yetu yafaa sana iwe na Rais mwenye akili kubwa na maarifa mengi!. Sasa swali kwako, jee, samuya (unayemshabikia sana) anavyo vigezo hivyo???. Kama jibu ni ndio, leta ushahidi wa changamoto kubwa 2 tuu alizozipatia majawabu yeye binafsi...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Umeshafikiria shahidi Rais Samia akiwa anahojiwa na Tundu Lissu mahakamani itakuwaje?

    Hawezi kukubali kwenda kuaibika, ila angekuwa na "uwezo" mkubwa angekubali kwenda ili amkomoe zaidi Lissu kwa namna asivyompenda!.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Serikali Tanzania yawapa wazalishaji wa saruji siku nane kushusha bei

    Serikali hii hii ya mama au?!?!
  7. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kihongosi: Maridhiano bila Tundu Lissu inawezekana, CHADEMA njooni

    Ccm hata muwahonge baadhi ya viongozi wa chadema minduku hakuna cha maridhiano wala mapendano, kila mtu ashinde mechi zake....ma ccm mlichagua rais apatikane kwa njia ya mtutu, uelekeo ndio huo huo, ila mkumbuke kuimba ni kupokezana!.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya dunià kutoka Tanzania

    Tz haikuwa na uchaguzi mkuu mwaka 2025, huyu rais wa sasa ameteuliwa na tume ya uchaguzi...wananchi hawakujitokeza kwenda kupiga kura!.
  9. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kihongosi: Wanasiasa acheni kutumia Majeraha ya Oktoba 29 kujinufaisha Kisiasa

    Chama cha mauaji kinatapatapa
  10. A

    JamiiForums Tanzania Hivi wanaomchukia mh. Tundu Lissu wanaweza kutuonesha uzalendo wao katika nchi yetu ni upi zaidi ya uzalendo wa Lissu

    Machawa (tena machache mnoo) ndio wanajamba jamba wanajua kula yao itakuwa ngumu sana Lissu akiwa huru!!.
  11. A

    JamiiForums Tanzania DPP afungua kesi Mahakamani kwa Mwenyekiti wa Bavicha Kahama kwa kusema Patros Katambi hii nchi siyo ya Baba Yako Wala Mama Yako

    Nchi ikishakuwa na Rais form four failure basi we tegemea mambo ya ajabu ajabu kuonekana ya kawaida kabisa!.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Aachiwe huru ili aende wapi kwa mfano muhalifu huyo?

    Fala ni yule form four failure wa kizimkazi!.
Back
Top Bottom