Leo nakuunga mkono kwamba nchi hasa za dunia ya tatu kama yetu yafaa sana iwe na Rais mwenye akili kubwa na maarifa mengi!.
Sasa swali kwako, jee, samuya (unayemshabikia sana) anavyo vigezo hivyo???.
Kama jibu ni ndio, leta ushahidi wa changamoto kubwa 2 tuu alizozipatia majawabu yeye binafsi...
Ccm hata muwahonge baadhi ya viongozi wa chadema minduku hakuna cha maridhiano wala mapendano, kila mtu ashinde mechi zake....ma ccm mlichagua rais apatikane kwa njia ya mtutu, uelekeo ndio huo huo, ila mkumbuke kuimba ni kupokezana!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.