Samuya anapendwa kwa dhati kabisa na wateule wake (walamba asali) pamoja na machawa yao....baasi.
Huku ground mamilioni ya watz hawampendi kabisaa...ukweli mchungu!.
Chawa huna akili sawasawa na huyo unayemtetea, kwani nani kakuambia vyeti vya shule ndio vinampa mtu mafanikio?!.
Mazeri anaonekana akili za darasani hana, na kuthibitisha hilo alituambia bei ya mafuta USA ni dola 8000 Lita (hesabu nyepesi kbs hajui)!.
Au pale aliposema kura za wazenj ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.