Recent content by akili mwili mzima

  1. A

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Samuya hatakubali kupanda kuzimbani kwenda kuaibika
  2. A

    JamiiForums Tanzania Siku CHADEMA tukichukua nchi nini tutafanya kwa taifa letu?

    Katuga na genge lake wakatupwe katikati ya Indian Ocean!.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania chuki zimezidi sasa mnashindwa hata kusema pole kwa rais wenu. Tumwombe Mungu atutoe hapa

    Kifo ni kifo tu acha taharuki we chawa!
  4. A

    JamiiForums Tanzania Rais ni nembo Ya nchi, Tumpende na kumpa ushirikiano wa kutosha

    Samuya anapendwa kwa dhati kabisa na wateule wake (walamba asali) pamoja na machawa yao....baasi. Huku ground mamilioni ya watz hawampendi kabisaa...ukweli mchungu!.
  5. A

    JamiiForums Tanzania Bibi alietembea kwa miguu ampe Rais zawadi ya kuku apewa gari

    Huu usanii wa Hichlema atakuwa kajifunzia kwa samuya, sawa sawa na ule wa wizi wa kura!
  6. A

    JamiiForums Tanzania Kwa nini huwa ni Mzena au nje ya nchi ?

    Hosp ya viongozi, wamejiamulia hivyo mkuu...ndio maana hawataki katiba mpya, ila Mungu fundi anawafuata huko huko Mzena Hosp!.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Hadi huruma. Samia Suluhu kawa mdogo. Kifo kisikie kwa jirani

    Wanyama wa mwituni ni wale wanaoteka watanganyika wanaowakosoa...yaani wale walioamuru mauaji ya watanganyika ile 29 octoba!.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Amani Golugwa, amemaliza kutoa ushahidi kesi ya Lissu

    Inakuuma eeh Muambie samuya aende eda kafiwa na mume Sipati picha machawa mtakavyojigaragaza msibani bwahahahahaa
  9. A

    JamiiForums Tanzania Ni nani aliyemshauri Samia kufanya safari za ndege DSM kwenda Urusi? Huyo mtu kama yupo, afukuzwe Kazi!

    Chawa huna akili sawasawa na huyo unayemtetea, kwani nani kakuambia vyeti vya shule ndio vinampa mtu mafanikio?!. Mazeri anaonekana akili za darasani hana, na kuthibitisha hilo alituambia bei ya mafuta USA ni dola 8000 Lita (hesabu nyepesi kbs hajui)!. Au pale aliposema kura za wazenj ndio...
  10. A

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Uongozi wa Wanawake kwenye taasisi huleta faida zaidi | London Stock Exchange

    Sasa mbona Tz chini ya rais mwanamke ndio tumebugi kuliko awamu zoote zilizopita, au huo utafiti wamefanya TWAWEZA?!.
Back
Top Bottom