Tupo kimya tunafakari
1) je mama ni mshabiki wa yanga
2) je washabiki wa simba watalipokeaje
3)kwa nini asiyafanye kwa taifa star
4) je aipelekei wananchi kuwa donge moyoni
Hadi unajiuliza hivi bunge lina umuhimu gani, watu wanasema vitu ambavyo bungeni hakuna anayeweza kuzungumza ayo.
Ingependeza leo vikao vyao wangewekewa screen wakaona ukweli wa hali iliyopo
Sikieni enyi nchi na wakaao ndani yake. Vita ya uchumi ni ngumu na kuishinda kwake ni kushupaza shingo bila kubwabwaja. Yaani wanaona tu mnalaza pipes bila kuwatajataja wala kuwabeza na kuwaita majina yasiyo faa n.k.
India china ethiopia n.k miradi yao mikubwa waliziba masikio na wakafanya...
Niko na mrusi lazima nae awe mbabe,kwani akiwa mmarekani peke yake dunia haitakuwa salama ameumba mungu kuwa salama ya dunia ni nguvu ya mvutano mwacheni mrusi achukuwe ukrane na kila aliemsaidia ukrane amtie adabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.