Recent content by akili maki

  1. A

    Israel na Hamas zinakaribia kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano na kubadilishana mateka na wafungwa

    Israel haijapata kutekeleza mikataba yoyoye huyo ni mtoto wa America anadekezwa mno
  2. A

    Kwa hizi zana za Kivita zinazoondoka US kuelekea Israel nashindwa kuelewa ni nani hasa anapigana na Palestine! Ni sawa na Libya Kwenye Vita ya Kagera

    Lazima Israel aimiliki Palestine ili iweze marekani kuweka mirija bara lote la arabu na kunyonya mafuta hapa America anaweseka na mrusi
  3. A

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    WAKRISTO WANANUFAIKA NA BANDARI
  4. A

    Sheikh wa Mkoa Mwanza (Kuhusu Mjadala wa Bandari): Walaaniwe wote wenye nia ovu na Rais Samia

    Mbona ametoa fursa ya kujadili na kurekebisha....lakini wanasiasa hawataki
  5. A

    Yanga ilivyozoa jumla ya milioni 175 kwa Rais Samia

    Tupo kimya tunafakari 1) je mama ni mshabiki wa yanga 2) je washabiki wa simba watalipokeaje 3)kwa nini asiyafanye kwa taifa star 4) je aipelekei wananchi kuwa donge moyoni
  6. A

    Natamani Yanga na Simba zisifike mbali msimu ujao, ili siasa isiwepo

    MAMA NI YANGA HAWEZI KUFICHA HISIA ZAKE
  7. A

    Usiku wa Mwananchi: Mdee, Mbowe, Tundu Lissu, Prof Lipumba, Mbatia ndani ya Ikulu kwa " Dinner"

    HII NI SIASA TU....TUNATAKA MZUNGUKO WA FEDHA MTAANI
  8. A

    Vigogoni gani wataondoka baada ya mkutano wa Kariakoo?

    Hadi unajiuliza hivi bunge lina umuhimu gani, watu wanasema vitu ambavyo bungeni hakuna anayeweza kuzungumza ayo. Ingependeza leo vikao vyao wangewekewa screen wakaona ukweli wa hali iliyopo
  9. A

    Tanzania na Uganda zapigwa marufuku na Ulaya kuendeleza Miradi ya Mafuta na Gesi

    Sikieni enyi nchi na wakaao ndani yake. Vita ya uchumi ni ngumu na kuishinda kwake ni kushupaza shingo bila kubwabwaja. Yaani wanaona tu mnalaza pipes bila kuwatajataja wala kuwabeza na kuwaita majina yasiyo faa n.k. India china ethiopia n.k miradi yao mikubwa waliziba masikio na wakafanya...
  10. A

    Wanaomtetea Mrusi dhidi ya uvamizi wake nchini Ukraine, Someni hii

    Niko na mrusi lazima nae awe mbabe,kwani akiwa mmarekani peke yake dunia haitakuwa salama ameumba mungu kuwa salama ya dunia ni nguvu ya mvutano mwacheni mrusi achukuwe ukrane na kila aliemsaidia ukrane amtie adabu
Back
Top Bottom