Ndomana nilikua najiuliza bila majibu... Kwanini mwaka 2017_2018 umeongoza kwa kukata keki za kuzaliwa et happy birth day!!!.. Sasa naanza kuunganisha doti kwa mwanga mdogo hapo juu.
Mi nadhani haya mambo yalikuwepo.. Ila haya mavitu yalikuwa ni ya private issues...ila nowadays technologia ndo inafichua hizi siri zilizo fichwa zamani....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.