sorry kaka naomba unipatie muongozo kwa haya yafuatayo; 1. kwa mtu ambaye tayari Ni mwajiriwa inatakiwa awe na vigezo gani kujiunga na hiyo kozi. 2, je kwenye kutuma maombi Kama ana diploma ya sheria au form 6 anatakiwa kuambatanisha na cheti Cha polisi ili wamtambue Kama Ni Askari au...
sorry kaka, Mimi Nina 2-11, naipnda Sana hiyo kozi, vipi kwa ufaulu huo naweza nikapata nafasi? Kuna jamaa aliniambia kwa sasa wanachukua mwisho 1-9. Just Kuna ukweli juu ya hili au Hapana.
sorry kaka, naomba Kama ulifanikiwa kuisoma hii kozi unisaidie kuhusu (!) inachukua wanafunzi wangapi (!!) inahitaji ufaulu gani. Mimi Nina 2-11, naitamani sana japokuwa Kuna mtu aliniambia kwamba mwisho Ni 1-9, vipi Kuna ukweli juu ya hili au Hapana??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.