Recent content by Akas

  1. A

    Uliza chochote kuhusu PSPA UDSM

    Naomba kufahamishwa ufaulu uanohitajika kusoma hi kozi hapo UDSM, na je ufaulu wa GS unatoka ngatiwa??
  2. A

    Kwa waliochagua B.A Law Enforcement

    sorry kaka naomba unipatie muongozo kwa haya yafuatayo; 1. kwa mtu ambaye tayari Ni mwajiriwa inatakiwa awe na vigezo gani kujiunga na hiyo kozi. 2, je kwenye kutuma maombi Kama ana diploma ya sheria au form 6 anatakiwa kuambatanisha na cheti Cha polisi ili wamtambue Kama Ni Askari au...
  3. A

    Naomba msaada kwa anayejua vizuri kuhusu degree ya law enforcement

    sorry kaka, Mimi Nina 2-11, naipnda Sana hiyo kozi, vipi kwa ufaulu huo naweza nikapata nafasi? Kuna jamaa aliniambia kwa sasa wanachukua mwisho 1-9. Just Kuna ukweli juu ya hili au Hapana.
  4. A

    Natafuta madesa ya Bachelor of Arts in Law Enforcement

    sorry kaka, naomba Kama ulifanikiwa kuisoma hii kozi unisaidie kuhusu (!) inachukua wanafunzi wangapi (!!) inahitaji ufaulu gani. Mimi Nina 2-11, naitamani sana japokuwa Kuna mtu aliniambia kwamba mwisho Ni 1-9, vipi Kuna ukweli juu ya hili au Hapana??
Back
Top Bottom