Recent content by AKAHUMULA

  1. A

    Waziri Mkuu Majaliwa ndani ya Bandari tena. Makontena zaidi ya 2,400 yamepita bila kodi

    tanzania ya uwajibikaji ndio tanzania tulioitaka, asnt mh PM
  2. A

    TANESCO Muleba Kagera wachunguzwe

    Watendaji wa TANESCO wilaya ya Muleba wachunguzwe na ikibainikwa waevunja sheria wawajibishwe, wamekuwa wakishirikiana na wafanyakaz wa REA kuwahujumu wananchi kwa kuwatoza fedha kinyume na utaratibu wa TANESCO na REA,. Mfano ktk kijiji cha Bushemba kata Buganguzi wamewatoza wananchi Tsh laki...
  3. A

    YALIYOJILI: Mkutano wa mgombea urais wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli wilayani Ngara

    Muda wowote kuanzia mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Magufuli ataingia katika viwanja vya Posta hapa mjini Ngara, watu wamefurika na uwanja wote umejaa watu, watakaofika baada ya saa nane watakosa sehemu hata ya kusimama, ntaendelea kuwaletea yanayojili
  4. A

    Nilisubiria kwa hamu je Magufuli atawanadi Tibaijuka, Chenge

    muleba kusini wa imani na magufuli lkn TIBAIJUKA imekula kwake, ajiandae kukabidhi nyaraka za jimbo. MAFISADI KWETU MWIKO
  5. A

    Kesho tar 22 sept Dr Magufuli ndani ya Ngara

    hapa kazi tu, mgombea wa ubunge jimbo la ngara Alex Gashaza atajichukulia jimbo mapema sana kwa sababu mpinzan wake dr bujari hana mvuto kwa watu.
  6. A

    Kesho tar 22 sept Dr Magufuli ndani ya Ngara

    Kesho siku ya jumanne tar 22 sept dr magafuli, mgombea urais kupitia cha mapinduzi ccm atafika wilayan ngara kuomba ridhaa kwa wanangara il wamchangue kuwa rais wa tanzania, mkutano wa hadhara utafanyika ktk viwanja vya old posta, mkutano wa hadhara wa hadhara utatanguliwa na mkatano wa ndan...
  7. A

    LIVE Updates: Mkutano wa CHADEMA - Kimandolu Tindigani, Arusha

    magambas watazmia kama sio kufa mwaka huu
  8. A

    LIVE Updates: Mkutano wa CHADEMA - Kimandolu Tindigani, Arusha

    waeleze viongoz mkutano huo urushwe live kupitia tvs, jana tulinyimwa uhondo tafadhari kama tatizo ni uchumi tuko tayar kuchangia il wananch wamuone rais wao
  9. A

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    mwambieni tibaijuka asijisumbue coz akipita kura za maon ukawa tutamiliki jimbo saa asubuh, eti na issa samma anagombea jimbo la ngara vs gashaza, yetu macho but be care record inaelekea kuvunjwa kwa mara ya kwanza ngara kuongozwa na upinzani
  10. A

    NACTE yaleta mkanganyiko Diploma

    Ndugu wadau wa elimu kiukweli nacte wamewachanganya walimu walioomba kujiunga na ordinary diploma. Walioapply waliambiwa watajiunga na masomo mwez wa nane na barua zao za kuingia kwenye mpango ktk halmashaur zao zinawaruhusu kuanzia huo. Cha kushangaza wameambiwa wajiunge na masomo yao mwz huu...
Back
Top Bottom