Recent content by Ajira Net

  1. A

    Photocopy Machine za Rangi 2 Zinauzwa na Printer ya Mabango

    Photocopy zinatumia Tonners ambazo zipo za Kurefiil ukinunua, utapata na Tonner zake bure. Pia Printer ya Mabango ina Tumia wino wa Maji. Ukinunua Utapata na Wino wake wa Kurefill cc 100 kwa kila rangi bure. na Kuna Cartridge moja ya black ya ziada.
  2. A

    Photocopy Machine za Rangi 2 Zinauzwa na Printer ya Mabango

    Mashine Tatu Zinauzwa Zimeagizwa Toka Uk. Hazijatumika Tz Bado. 1. Canon Ir C 3200N Hii ni Printer, Scanner na Photocopying Machine Yenye Uwezo wa Kutoa Copy za Rangi na za Black and white kwa Ukubwa wa Size ya A4 na A3. Mashine hii ina uwezo wa Kutoa Copy 32 kwa dakika kwa karatasi zote yaani...
  3. A

    Printer

    Umeandaa sh ngap mkuu? unapatikana wapi?
  4. A

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Kwanza Weka Aibu Pembeni Maana Itakurudisha Nyuma. Angalia kama Upo Jirani na Shule, Vyuo au Njia Ambazo watu huwa wanapita au kukusanyika kwa Wingi. Fanya Mpango uwe Freelancer wa Mitandao yote ya cm, uwe una kazi ya kusajili line, kutengeneza special number, ku renew line, kuuza vocha n.k...
  5. A

    Nafasi za Kazi Leo Tarehe 06/09/2016

    FINANCE AND ADMINISTRATION MANAGER AT NJOMBE COMMUNITY BANK Njombe Community Bank is looking for a qualified Tanzanian candidate to fill the above vacancy position. The candidate required must be highly organized, enthusiastic on the career, engaged, a proactive thinker and perceptive...
  6. A

    Nafasi za Kazi Leo Tarehe 07/09/2016

    NAFASI:- SALES CONSULTANTS KAMPUNI: TUNAKOPESHA LTD SIFA: Elimu ya Sekondari, Diploma au Digrii ya Masoko. MAWASILIANO: edson .olotu@gmail.com au ipeleke moja kwa moja Offisini Kwao Upanga Dar. Mwisho wa Kutuma Maombi ni Tarehe 15/09/2016 *******************************************************...
  7. A

    Internship opportunities at Policy Forum(PF)

    Policy Forum (PF) is a network of 76 civil society organizations brought together in their interest in poverty reduction, equity and democratization and pursuit to enhance and augment the voice of ordinary citizens in national policy processes. The network focuses on governance and public money...
  8. A

    Nafasi za Kazi Leo Tarehe 06/09/2016

    Nafasi ya Kazi ya Udereva Sifa:- 1. Kijana Umri usiozidi miaka 35 2.Awe Mzoefu wa Jiji la Dar 3.Uzoefu wa Magari, Manual na Automatic 4.Awe na Uzoefu wa Kusafiri Mikoani 5.Awe Anaishi Maeneo ya Magomeni, Temeke, Ilala na Maeneo ya Jirani na Jiji 6.Leseni Daraja C, Elimu Kidato cha Nne au Sita...
  9. A

    Nafasi za Kazi Leo Tarehe 05/09/2016

    KIJANA MBUNIFU WA VIPINDI - GLOBAL TV Global TV ONLINE ni televisheni ya kwenye mtandao inayafuatiliwa na watu wengi duniani, inahitaji kijana mwenye uwezo na ari ya kuipeleka mbele TV hiyo mwenye sifa zifuatazo: -Anahitajika kijana wa kiume Mbunifu, Mwenye Ari kubwa va kazi ya Social Media...
  10. A

    DAR: Askari Polisi wanne wauawa na raia 2 wajeruhiwa, silaha zaporwa!

    Hizo Gari Amabzo Zina Muondo kama wa Noah nazo ni Ashock Layland, Pia Polisi wanazo Ashock Kubwa kama zile fuso zina Rangi Nyeupe na Plates za PT.
Back
Top Bottom