Asante sana kiongoz kwa ushauri ila nachouliza ni kuwa........kwan waweza kuwa umechaguliwa na jina lako lisiwe released baada ya kukaguliwa na hao senate ama........maana umenishtua kidogo uliposema bado sijachaguliwa muhimbili..
Nahitahi ufafanuzi kidogo hapo mkuu!!!!
Tukiwa tunasubiri joining instruction tupeane mawili matatu kwa wote tuliochaguliwa hapo na hata pia wazoefu wa chuo hicho waliowah kusoma.
Binafsi mimi nimechaguliwa diploma ya medical laboratory science but sijajua kuhusu mambo ya joining instruction pamoja na admission letter napataje maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.