Recent content by Aizat

  1. Aizat

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Hahaha sawa mkuu
  2. Aizat

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Tatizo anaishi kwenye kivuli cha Vanessa ,hakuweza kuishi maisha yake tena baada ya kuachana na Vee...ukiweka na maneno ya shombo ya wabongo kuhusu kukimbiwa, akaona na yeye atafute mnigeria...wale watu sio asee Hata huyo Vanessa anaigiza tu humo na huyo mnigeria, ni kanateseka balaa🤣🤣🤣
  3. Aizat

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Toka lini jux akawa na kitambi au hata kunenepa? Ile sio afya asee, umeona shingo na mdomo, na mda wote ana ulamba lamba😂😂😂... Kuna comment imenichekesha insta eti " sasa hivi jux akitaka kulamba mdomo mpaka apige mluzi" Watu wana maneno balaa
  4. Aizat

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Kuna watu wanadai huyo mamkwe Hana hata cha utajiri wala nini, ni wa wamama wa mjini janja janja! Wayoruba wote wanajifanyaga matajiri Juma atakoma asee, hata kama ana ile biashara ya chakula ya nyoka, pesa itaisha tu,🤔
  5. Aizat

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Kitambi ni scapegoat 🤔
  6. Aizat

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa Kikenya

    Jaribu kuusoma hasa comment za mwanzon na mwishon utacheka ufe🤣🤣🤣🤣
  7. Aizat

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa Kikenya

    Huu uzi unachekesha balaa....yaan nimecheka mpaka nimejikojolea😂😂🤣🤣🤣🤣 Seran
  8. Aizat

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Mmmmh kuna mtu kasema alikopa CRDB milioni 500🙆🙆 Sema kuoa Nigeria au Kenya ni big mistake sana asee...hawa watu mi nawajua vizuri sana Atajuutaa!
  9. Aizat

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Kwa Yesu🙏
  10. Aizat

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Sio AI mkuu, kawa kishingo cheza...sema kashajibu kuwa amejipunguza kimakusudikali kitambi kilikuwa kinamtesa🤣🤣🤣🤣
  11. Aizat

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Madai yake Vee asimuone boyaa😂😂🤣🤣 Kwa jinsi navyowajua wanigeria hata huyo Vanessa anateseka kichizi, Wana manipulate balaa Wote wangese tu Vee na Jukusi, ila kidogo uanamke unambeba Vee
  12. Aizat

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Kweli kabisa uyasemayo...Niko nao huku ughaibuni asee wanawake Wana kiherehere na kelele, niliishi kwenye apartment yao miezi mitatu nikanyoosha mikono🙌 Ujuaji sasa😏😏😏 Na utapeli Ila wana roho nzuri ukiwa mwafrika mwenzie mgeni ( wanaume wanigeria only) wanawake 🚮🚮🚮🚮
  13. Aizat

    JamiiForums Tanzania Kumbe yasemwayo kuhusu wahaya ni ukweli?

    Sema wana akili hao darasani balaa...nimesoma nao
  14. Aizat

    JamiiForums Tanzania TBT

    Shusha vitu basi daah alostooo🙆🙆🙆
  15. Aizat

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Nilikumbana na Mauza Uza ya Wachawi

    Mkuu unadeka sana...hayo ni mauza uza sasa?? Tuulize sisi 🙆
Back
Top Bottom