Recent content by Aizat

  1. Aizat

    JamiiForums Tanzania Carry Mastory Avujisha Sauti ya Hamisa Mobetto Kuhusu Baba Mzazi wa Mtoto Wake (Dylan)

    Kmmmk! 29 Oct ulijifinyanga uvunguni mwa kitanda, sasa hivi umeibuka na wezi wa taifa!
  2. Aizat

    JamiiForums Tanzania Carry Mastory Avujisha Sauti ya Hamisa Mobetto Kuhusu Baba Mzazi wa Mtoto Wake (Dylan)

    Kiranga unapigaga umbea kijanja😁😁😁... Kama hivi sasa, huku unajifanya kutushangaa wambea
  3. Aizat

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Uliza tu mkuu usijali
  4. Aizat

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Sema nawashukuru kwa hili...wamenifanya niwe na roho ngumu sana!
  5. Aizat

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Yeah ofcourse tuko poa! Wananilelea na katoto kangu (wako vizuri sana kiuchumi)... Mi siko Africa nimewakimbia kabisa!
  6. Aizat

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    🤣🤣🤣😁...
  7. Aizat

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Hawa dawa yao ni madongo tu kwenye simu...wakiletaga shobo za kunimiss naingizia na story za manyanyaso yao kipindi hicho, wanakaa kimyaaa!
  8. Aizat

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Sante mkuu....ni watu ambao wanaonesha upendo mkubwa kwangu kwa sasa hivi...but mi hawako moyoni kabisa, sipendi hata kuwatembelea maana najusikiaga hasira sana nikiwaona!
  9. Aizat

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Hivi vitu vinaharibu future ya mtu ukubwani asee, Mimi mamangu alikuwa anashirikiana na kaka zangu kunichangia kunipiga na mikanda na waya za umeme utotoni eti mi mtundu sana... sasa hivi nimekuwa mtu mzima hata siwapendi yaan😏😏.....wao wanadhani nimesahau kumbe kila kitu kiko ubongoni kama jana...
  10. Aizat

    JamiiForums Tanzania Kimasihara sana!. Hatimae ninafikisha nguruwe 50 ndani ya miezi 18

    Kwanini mkuu?
  11. Aizat

    JamiiForums Tanzania Kimasihara sana!. Hatimae ninafikisha nguruwe 50 ndani ya miezi 18

    Una maswali konk👍
  12. Aizat

    JamiiForums Tanzania Kimasihara sana!. Hatimae ninafikisha nguruwe 50 ndani ya miezi 18

    Umeulizwa bei mkuu daah🙆
  13. Aizat

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Nyie watoa comments, kuweni makini na majibu yenu, mnazidi kumtisha huyu dada...mkumbuke hayuko sawa huyu msione majibu yake ya kishujaa hapa!
Back
Top Bottom