Ngoja waje humu wanaopenda kujidogolesha utasikia "ni nani huyu mbona mi simjui ( huku anamjua fika)... Au utasikia " "wakati zay b anaimba nilikuwa na miaka 2 au nilikuwa kiunoni kwa babangu" 😂😂😂😂😂
Wabongo kwa kupenda utoto ni A na BE 🤞
Kabla hujafika ulaya au amerika inabidi ujifunze kutembea na kukimbia huko afrika, maana kuna kuwahi bus kwenda job au kuwahi bus kurudi home, ukichelewa hata dk moja linakuacha...so we ni mwendo wa mbio na kutembea kimwendo kufata hizo bus au subway
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.