Sante mkuu....ni watu ambao wanaonesha upendo mkubwa kwangu kwa sasa hivi...but mi hawako moyoni kabisa, sipendi hata kuwatembelea maana najusikiaga hasira sana nikiwaona!
Hivi vitu vinaharibu future ya mtu ukubwani asee, Mimi mamangu alikuwa anashirikiana na kaka zangu kunichangia kunipiga na mikanda na waya za umeme utotoni eti mi mtundu sana... sasa hivi nimekuwa mtu mzima hata siwapendi yaan😏😏.....wao wanadhani nimesahau kumbe kila kitu kiko ubongoni kama jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.