Tatizo anaishi kwenye kivuli cha Vanessa ,hakuweza kuishi maisha yake tena baada ya kuachana na Vee...ukiweka na maneno ya shombo ya wabongo kuhusu kukimbiwa, akaona na yeye atafute mnigeria...wale watu sio asee
Hata huyo Vanessa anaigiza tu humo na huyo mnigeria, ni kanateseka balaa🤣🤣🤣
Toka lini jux akawa na kitambi au hata kunenepa?
Ile sio afya asee, umeona shingo na mdomo, na mda wote ana ulamba lamba😂😂😂...
Kuna comment imenichekesha insta eti " sasa hivi jux akitaka kulamba mdomo mpaka apige mluzi" Watu wana maneno balaa
Kuna watu wanadai huyo mamkwe Hana hata cha utajiri wala nini, ni wa wamama wa mjini janja janja!
Wayoruba wote wanajifanyaga matajiri
Juma atakoma asee, hata kama ana ile biashara ya chakula ya nyoka, pesa itaisha tu,🤔
Madai yake Vee asimuone boyaa😂😂🤣🤣
Kwa jinsi navyowajua wanigeria hata huyo Vanessa anateseka kichizi, Wana manipulate balaa
Wote wangese tu Vee na Jukusi, ila kidogo uanamke unambeba Vee
Kweli kabisa uyasemayo...Niko nao huku ughaibuni asee wanawake Wana kiherehere na kelele, niliishi kwenye apartment yao miezi mitatu nikanyoosha mikono🙌
Ujuaji sasa😏😏😏
Na utapeli
Ila wana roho nzuri ukiwa mwafrika mwenzie mgeni ( wanaume wanigeria only) wanawake 🚮🚮🚮🚮
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.