Recent content by Aizat

  1. Aizat

    JamiiForums Tanzania Nathubutu kusema nimeushinda uraibu

    Sasa ulikuja duniani kufanya nini?
  2. Aizat

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Uhakika ya Kupunguza Uzito Bajeti Ipo, Sitaki Msaada wa Bure

    Thanks mkuu nshakutumia
  3. Aizat

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Uhakika ya Kupunguza Uzito Bajeti Ipo, Sitaki Msaada wa Bure

    Mkuu please nifungulie pm nimetuma message imegonga mwamba, na ishu na UTT...hili swali liko private kidogo...natanguliza shukrani 🙏
  4. Aizat

    JamiiForums Tanzania Huwezi kupata hela nyingi kwa njia za halali, tafuta pesa kwa siri yako ya moyoni

    Mmhh! wewe hivi vitu ulivitapaje?🤔
  5. Aizat

    JamiiForums Tanzania Huwezi kupata hela nyingi kwa njia za halali, tafuta pesa kwa siri yako ya moyoni

    Hakuna cha fact hapo...huyu kapagawa, suruali imetoboka mfuko!
  6. Aizat

    JamiiForums Tanzania Huwezi kupata hela nyingi kwa njia za halali, tafuta pesa kwa siri yako ya moyoni

    Mkuu unataka tuwe majambazi au tukate watu vichwa tutajirike?? Hii speed yako siyo ya kawaida🤦🙄
  7. Aizat

    JamiiForums Tanzania Hali halisi ya umeme ilivyo Nigeria inatisha sana,by #shany!

    Nitumie pm basi mkuu
  8. Aizat

    JamiiForums Tanzania Hali halisi ya umeme ilivyo Nigeria inatisha sana,by #shany!

    Mkuu huyu shany anajiita Nani huko Instagram nimfolo?
  9. Aizat

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Mmmh mbona kama mateja?
  10. Aizat

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Ngoja waje humu wanaopenda kujidogolesha utasikia "ni nani huyu mbona mi simjui ( huku anamjua fika)... Au utasikia " "wakati zay b anaimba nilikuwa na miaka 2 au nilikuwa kiunoni kwa babangu" 😂😂😂😂😂 Wabongo kwa kupenda utoto ni A na BE 🤞
  11. Aizat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha bila watoto wala ndoa

    Hahahaha maniner
  12. Aizat

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Sio wahindi wote wapiga kazi...kuna limoja hapa tuko nalo ofisini vivu vivu mpaka mzungu anataka alitimue
  13. Aizat

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Watu wanachomana visu kisa 500...hawa ni binadamu wa kawaida kweli?🤔
  14. Aizat

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Kabla hujafika ulaya au amerika inabidi ujifunze kutembea na kukimbia huko afrika, maana kuna kuwahi bus kwenda job au kuwahi bus kurudi home, ukichelewa hata dk moja linakuacha...so we ni mwendo wa mbio na kutembea kimwendo kufata hizo bus au subway
Back
Top Bottom