Recent content by Aisopos

  1. A

    Kesi ya Mbowe: Umuhimu wa Ushahidi wa Kaaya ni upi?

    Nadhani ushahidi muhimu katika kesi hii ni yale maelezo ya watuhumiwa ya kukiri kosa ambayo yaliwekewa pingamizi lakini mwisho wa siku mahakama ikayapokea!
  2. A

    BAVICHA: Unamuenzije Nyerere huku unadhihaki Mwenge na Muungano

    Kuna tofauti kati ya kukosoa na kudhihaki. Tume ya Warioba na ile ya Kisanga zote zimependekeza muundo wa muungano urekebishwe. Kwa hakika suala la mwenge nalo sasa linahitaji mjadala mpana.
  3. A

    Rais Samia vipi akiwa kwenye 18 za Stephen Sucker kipindi cha Hard Talk?

    Ya Kikeke hayakuwa mahojiano bali mazungumzo ya kuinua haiba kidiplomasia.
  4. A

    CCM: Tutamjadili kwanza Benard Membe

    Sababu kubwa ya kumrejesha Membe ccm ni kwamba alifikuzwa bila kufuata utaratibu!
  5. A

    Moses Lijenje aliyetajwa kutupwa na Polisi kesi ya ugaidi ya Mbowe na wenzake ni nani?

    Kesi siyo ya mahakama; mwenye kesi ni serikali, yaani Rais. Kazi ya mahakama ni kupokea kesi na kuisikiloza. Wakati wowote mwenye kesi, yani serikali akiamua hataki kuendelea anaiarifu mahakama kesi inafutwa.
  6. A

    Balile: DPP, IGP, DCI lifutieni taifa aibu kesi ya Mbowe

    IGP anaju IGP anajua mipaka yake kisheria. Anapoingilia vyama vya siasa siyo kwamba hajui balj anatekeleza maelekezo ya watawala. Awali ilidhaniwa vyama husika vitaogopa na kurudi nyuma. Hilo halijatokea; badala yake CHADEMA wamekomaa licha ya kukamatwa na kulala mahabusu. Jeshi la polisi...
  7. A

    Balile: DPP, IGP, DCI lifutieni taifa aibu kesi ya Mbowe

    Mzee mmoja amedai SSH haijui hii nchi! Nadhani madai hayo yanaweza kuwa na ukweli kiasi. SSH angekuwa anaifahamu vizuri hii nchi angejua kuwa jeshi la polisi siyo chombo cha kukiamini sana. Angekuwa anaifahamu nchi ikiwa ni pamoja na undani wa jeshi la polisi asingemeza jumla jumla taarifa kuwa...
  8. A

    Rais Samia vipi akiwa kwenye 18 za Stephen Sucker kipindi cha Hard Talk?

    Mungu apishilie mbali; Rais ni nembo ya nchi yetu na tusipende kuanika udhaifu wetu hadharani. Kuna mambo mengine ni ya hovyo ambayo hatustahili kumuonyesha mtu wa nje. Is
  9. A

    Askofu Mwamakula: Polepole ametahadharisha tusipokuwa makini, Serikali inaweza 'kutekwa nyara' na kubaki kama 'mwanasesere'

    Polepole anazungumzia kikundi gani? Sidhani nchi hii inaweza kuangukia mikono ya kikundi kibaya kuliko au hata kama kile kilichoishia March 2021. Kama kuna wakati nchi hii imepata kuongozwa na kikundi; tena kikundi cha watu wabaya sana ni baada ya uchaguzi 2015. Nchi ilikuwa mali ya mtu binafsi...
  10. A

    Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

    Samenya hayuko hivyo kwa sababu ya michezo bali kibiolojia.
  11. A

    Tundu Lissu: Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe ni mepesi kuliko pamba, awaponda Waendesha Mashtaka

    Pamoja na judiciary kutokuwa huru kwa mashtaka haya watu hawawezi kutiwa hatiani.
  12. A

    Rais Samia umedanganywa Mbowe alitoroka nchi ukakubali au umeamua kuruhusu utetezi wako kukosolewa?

    SSH na chama chake wanajua fika kwamba hawana tena uwezo wa kupambana kisiasa kwa hoja. Uchaguzi uliopita walipora kwa mtutu wa bunduki. Hata JPM aliwaambia wabunge wake kuwa hawakushinda uchaguzi. Yeye mwenyewe na "uchuma" wake wote alipiga magoti kuomba kura ingawa haikusaidia na kulaximika...
  13. A

    Rais Samia: Mbowe alijificha Nairobi aliporudi akaanza harakati za madai ya Katiba, nadhani ni Calculation akijua kwamba ana kesi

    Mama yuko desperate. Anaongozwa na vyombo kushughulikia changamoto za kisiasa kwa kutumia polisi.
  14. A

    Rais Samia: Mbowe alijificha Nairobi aliporudi akaanza harakati za madai ya Katiba, nadhani ni Calculation akijua kwamba ana kesi

    Kauli ga ni hii! Kujificha Nairobi ndiyo kunamfanya gaidi? Au kudai katiba mpya ni ugaidi?
  15. A

    Ni suala la muda tu jimbo la Kawe kutangazwa kuwa lipo wazi

    Gwajima ni kiongozi wa kisiasa. Katika suala hili zito hapaswi kuweka mawazo yake binafsi hadharani hasa yanapotofautiana na sera ya chama chake. Vinginevyo ajiuzulu kwanza nafasi yake kisiasa.
Back
Top Bottom