Recent content by Airfryer

  1. Airfryer

    Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

    Yapenda Mtini naona ndio symbol ya Bar pale mjini maeneo ya deluxe Jamaa naona amesimamia show kitambo kama muhindi hivi na Biashara zao, Kuna miaka walitaka kupabomoa hapo watu wa manispaa Yule Jamaa kiziwi mtoto wa mmliki bado ndio anaiendesha?
  2. Airfryer

    Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

    Ohooo WiFi tena, Kaka yako si atakatika kiuno sana Mwambie awe makini na watu wa Songea na Mtwara, kiuno wanazungusha watu wa huko kama feni nasikia Kiuno hakina spea Madukani awe makini
  3. Airfryer

    Kwahiyo mnaona ni sawa above 25 waendelee kukaa majumbani wakila vya bure?

    Ondoa ujinga wako hapa JF Mtu mpumbavu ni yule anayetaka watu waishi kama yeye Mimi nakushangaa bado unaishi sehemu moja, Tunaozunguka Tanzania hii ndio tunafahamu kila mtu na maisha yake na Furaha zake Usilazimishe Wamasai wakaishi Iringa kisa kuna mahindi Usilazimishe wachaga wakaishi...
  4. Airfryer

    Nachukia sana kuona wahindi na waarabu wanakaa Upanga wazawa tunalala Mbagala

    Mkuu Shangani sasa kupo vizuri, Nina safari ya huko karibuni, Kwa sasa natoka Songea Kuelekea lindi kwanza
  5. Airfryer

    Hayati Magufuli: Nimejitoa maisha yangu kwa ajili ya Watanzania masikini

    Una ushahidi, Zile ni Propaganda tu za maneno Angetaka ukweli angeacha vyombo vya habari viandike ukweli wa zile almasi TBC ilitumika kuwapumbaza wapumbavu wa nchi hii Channel zingine wakazitoa Dstv ili ibaki TBC ikipiga mapambio ya kuwadanganya watu Haya sasa Angalia tangu aondoke Leo hata...
  6. Airfryer

    Bucha za Nyama pori chini ya Wizara ya Maliasili ni chanzo kikubwa cha Mapato badala ya Tozo. Serikali isitishe kuuza Vitalu vya Uwindaji!

    Mkuu Bucha ya Nyama Pori Dar mbona zipo, Kama mnahitaji namba ya Bucha au location nitawaambie Halafu Baptist mbona Bucha ipo maeneo ya barabara ya huko sema unashuka hapo sheli unaelekea juu kidogo Last month nilienda kulikuwa na nyama ya nyumbu Mimi nilikuwa nataka swala aliniambia kila...
  7. Airfryer

    Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

    Hakuna totozi huku Kama unataka totozi, Songea kuna uhaba na ukame sana Sijaona mizigo wala watoto weupe huku Wengi ni weusi sana kama Mbeya tu na wafupi wafupi sana
  8. Airfryer

    Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

    Hili sio jukwaa la kiswahili na Fasihi Nenda kwenye jukwaa la lugha utakutana na rafiki zako mkajadili Nomino, vitenzi, viwakilishi, irabu na mambo mengine mengi ya vitendawili tega Hujafika mtwara, Wanachotamka ndio wanachoandika watoto wa shule
  9. Airfryer

    Kenya2022 Uamuzi wa mwisho wa Majaji wa Mahakama Kuu utatoka hapa

    Hakuna cha majaji, Hivi wewe mwenyewe hukuona mambo yalivyo hata mahakamani Kwenye uchaguzi ukishaweka walakini tu shida Kwanini watangaze matokeo wakati kuna majimbo bado? Kwanini jinsi ya kupiga hesabu kura za mshindi calculation zina kizana, Kwenye hili jirekebisheni tumieni simple maths...
  10. Airfryer

    Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

    GDP=Gross Domestic Products GDP ni Jumla ya bidhaa au huduma zilizozalishwa kwa kipindi husika mara nyingi hupimwa kwa mwaka mmoja Songea wanalima Mahindi na sio Songea tuseme Mkoa wa Ruvuma Yawezekana wanalima sana lakini yanasafirishwa nje ya mkoa au nchi huku wakulima wakilipwa makombo na...
  11. Airfryer

    Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

    Mkuu wewe ndio Umekosea sasa Watu wa Mtwara hakuna M huko bali kuna N Mtu wanasema ntu Mwanamke wanasema Mwananke Jamaa ni mzoefu anawafahamu
  12. Airfryer

    Kahama VS Tunduma: Wapi kuna Michongo ya Pesa na Fursa zaidi?

    Nimewahi lala sehemu inaitwa sijui Mpemba au sikosei kwa Mpemba Sina hamu na Tunduma Guest chafu chafu sana sana Pale Tunduma kwenyewe sikuona jipya zaidi ya watu wanaobadilisha Fedha za kigeni Hivi jamani watu huwa mnatembea kweli? Tunduma hii ya Mbeya ilivyochoka vile unaleta ushabiki...
  13. Airfryer

    Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

    Mkuu stand kama kituo cha Makumbusho au pale mawasiliano Dar es Salaam, Kumbuka hiyo ni centre ya mkoa mkuu Na ni mkoa una Mawaziri kila awamu ya uongozi tangu uhuru Mpaka sasa wana huyo Jenista Mhagama na yule Jamaa mfupi mfupi Ndumbaru Waziri wa katiba kabla alikuwa utalii
  14. Airfryer

    Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

    Shida ndio inaanza maeneo ya kutoka na Familia kula upepo hakuna kabisa Songea Mbeya Sijajua kama kumebadilika huko Nilitoka mwaka 2016 nina miaka sita sasa Mbeya hakuna mipango miji, Watu wamejenga hovyo hovyo tu hakijulikani ni njia ya gari au ya miguu mtaani Mbeya ni centre ya uchafu
  15. Airfryer

    Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

    Nimefika mkoa wa Ruvuma hapa mjini Songea baada ya miaka 18 tangu mwaka 2004, sioni mambo mapya kabisa wala ukuaji wa mji. Hapa mjini naona majengo ni yale yale tu zaidi majengo kidogo sana yameongezeka kama pale opposite na Bank ya NMB zamani tulisema ni eneo la TANESCO. Kitu gani kinazuia...
Back
Top Bottom