Njoo mapema Mahanga Agro-Inputs.
Tandahimba Mtwara mkabala na ofisi ya DC Jengo la Kanisa Katoliki. Utatimiza haja zako or email us: erastoaidan100@gmail.com or
Insta: aidx_erazg or
Call us: 0628399710/ 0768155483 or
FB page: Dr. Aidx or
WhatsApp us: 0628399710 or 0768155483.
NB: No mtu kati and...
Sasa iyo wew ulifanya kipindi hichooo alaf ulikuta ndo waalimu wazalendo wanamaliza zama zao, nenda leo utafurah au nenda kaulize aliyepita 2012 to 2020 kama anaweza hata muulze Miniature Circuit Breaker kana anaijua hata mchoro wake hajui
Sasa iyo wew ulifanya kipindi hichooo alaf ulikuta ndo waalimu wazalendo wanamaliza zama zao, nenda leo utafurah au nenda kaulize aliyepita 2012 to 2020 kama anaweza hata muulze Miniature Circuit Breaker kana anaijua hata mchoro wake hajui
Vifaa kama hivi Technical Schools vilitumika kufundishia kwa electrical department sasa hivi hakuna hata moja katika shule za Iyunga tech, Ifunda, hata Moshi havipo. Jamaniiii
Uchuro mtupu watuache tukashangilie kivyetuvyetu. WHO wanazingua toka kitambo sisi tunaingia uwanjani na tunatoka fresh tu. Akuna mtu aliyefariki. Wasitutishe kwani delta ndo nani, Tanzania tuondokane na kuburuzwa ondoeni hofu. Wanatangaza delta kama kiama vile akati poa tu
Shule za Upili za Ufundi Tanzania (Technical Secondary Schools in Tanzania) ni shule maalumu zilizoanzishwa kwa dhumuni la kuandaa wataalamu. Zilijidhatiti zaidi kuandaa vijana wenye umri mdogo, mafundi makenika, umeme, useremala, ujenzi, usanifu, ushonaji na ususi. Lengo kuu lilikuwa ni kuandaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.