I think Marekani ata jishusha na kutaka mazungumzo na China ila naamini Marekani ataandaa mapngo mkakati wa kumshusha China kiuchumi au kutengeneza vita vya ndani ya China japo nawo China wapo macho sana ila naona vita mpyaa kuibuka ya kijasusi na kufungana jela . Marekani kachelewa sana kwa...
Dini zimewapumbaza watu mmekuwa kama vichaa aya mauaji duniani yalikuwa toka kitambo mtume wenu Mohammed aliuwa watu ili kueneza dini yake na Kuwaita wengine makafiri alafu Leo unaona maajabu wapalestina kuuwawa
Magufuli alikuwa na maono mazuri sana kuusu hii nchi ata Sera sake zilikuwa nzuri shida ilikuja alivyowakaribisha vilaza kuwa washauri wake na tamaa za madaraka ndyo alipoaribu maana kma aliiingiza wabunge wote wa chama chake bungeni wrote kutoa wawili tu iliashiria angebadili katiba na kujiweka...
Trump anachofanya kwa urusi ni kama kutoa hisani na zawadi maana kama si propaganda za urusi kwenye mitandao ya kijamii Leo hii asingeupata uraisi kwenye ile tem ya Kwanzaa haikuwa direct ila indirect way kwa kutumia account fake na kuweka habari nzuri za trump so anarudisha fadhila
Nguvu ya marekani kwa nchi za ulaya ni kubwa sana kuliko mnavyidhani saivi waziri wa mambo ya nje wa marekani na Elon mask wansagia kunguni waziri mkuu wa German kuwa hafai kuwa waziri mkuu na uchaguzi ni mwezi wa 4 mwaka huu kwa mategemeo halisi ni kuwa chama chake kitapiteza vitu na ataanguka...
Chakwanza kumbuka upendo na hisia ulizonazo leo kwa mwenza wako utapungua mbeleni au kuisha kabisa kwaiyo cha kujitaidi ni kuangalia yale machache mazuri anayokufanyia mwrnza wako na kuyathamini, kuleni chakula kwenye saani moja, fanyeni mazoezi ya mwili pamoja ivi vitu viwili vinasaidia...
Hiii ni karata mbaya sana kwa ukrein apaa naamini counter offensive imeshaanza ubaya unakuja kushindwa kwa hii litakuwa pigo bays sana kwa ukrein naona kaamua kusogeza kete ngumu sana ngoja tuone hiii wiki
Inaumiza sana sana mkoa kama shinyanga, Geita, Mara penye madini mengi ya dhaabu lakin ndiyo kwenye amaskini mkubwa maji tu na shule ni shida hadi huruma na wananchi wanaona kawaida tu alafu tunawasingizia wawekezaji ila jukumu ambalo serikali ilitakiwa kulitekeleza kutoa at a asilimia 10 ya...
Yani kupika tu ndyo umekuja kuandika uku kuna ugumu gni kuchemsha marage na kuyaunga wali ambao ukipika kwenye gesi auchukui dakika 30 kuiva aisee kuna wanaume hopeless kabisa nyie ndiyo wake zenu wakinuna unaweza lala njaa sababu hajapika
Kama unapenda familia yako Fanya mapema uanze Kutafuta binti mwingine hraka ndani ya wiki moja uyoo mrudishe uyooo mtto kwao siku si nyingi ataenda kukuripoti polisi
Kila nchi ina mifumo yake ya kijeshi kulingana na geography ya nchi yao ilivyo kwaiyo jeshi linaundwa kulingana na udhaifu na uimara wa mazingira yao yalivyoo sisi TZ askari wengi lazima wapate mafunzo ya infantry na ndiyo msingi wa jeshi letu ulivyo kulingana na geografia ya nchi ilivyoo then...
Hii ni kujifariji kusema kuwa mashambulizi yalikuwa weak kiuhalisia USA,UK, na France wametoa support kubwa sana na yote sabbabu mashambulizi yametoka mbali imekuwa rahisi kujipanga kuyakabili ila naamini kabisa vita vikianza mashambulizi yataanzia karibu Iraq Syria na Lebanon
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.