Nilianza kuiogopa meta miaka 5 iliopita pale walipoweka kipengele cha location,contact numbers ingawaje haikua razima kuweka on au off nikasema hapa tayar kuuzwa kupo njian
Ukiwa safarini na gari yako mtu anaetaka ligi kumjua ni simpo maana atakaka akupite,mt mwenye uelekeo mmoja utamjua maana anaweza kukupita ukimpisha na anaekufuata utamjua maana anaenda kama uendavyo ww na hatak kukupita so ww ulionesha kumfuata angekulima chuma
Mungu mwema huyo jamaa amekuuliza kimahaba tu nawe ukamshangaa kishkaji ila kwa hali yasasa uyo jamaa angekua na manati ya kizungu angekulipua maana ulimletea ligi isiyo na maana tena mtaa mliotokea ni wakutilia mashaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.