Recent content by AI BRAINFULL

  1. AI BRAINFULL

    JamiiForums Tanzania Kwenye miaka mitatu hadi sasa SIMBA huleta timu zisizo na mvuto siku ya bonanza ya SIMBA DAY

    Watu tunataka watu wakitunishiana vidar hata kwenye ndondo kapu.Pima ubavu mbele ya mashabik wako ujue nani ni nani kwenye umati wa watu
  2. AI BRAINFULL

    JamiiForums Tanzania Nimenunua Samsung galaxy S21+ 5G

    Haiwez kukusaidia kitu maana ushanunua
  3. AI BRAINFULL

    JamiiForums Tanzania UEFA yakataa ombi la msamaha la Infantino, yasisitiza mpango wa kususia kombe la dunia upo palepale

    FIFA bila uefa ni sawa na mwewe asiye na mabawa
  4. AI BRAINFULL

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa nini ikifika uchaguzi mkuu, kura zisipigwe kwa njia ya mtandao na kila mmoja akaona trend ya kura kwa kila mgombea

    Hayo mambo yapo usa,canada,german na baadhi ya mataifa ya maghalibi ambayo uongoz kwao sio njia yakutafuta ugali
  5. AI BRAINFULL

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya META inayomiliki WhatsApp, Facebook, Instagram, Threads, Messenger, inashirikiana na mamlaka za Serikali kukamata wahalifu

    TWETTER(X),JAMIIFORUMS NA TELEGRAM angalau kwa 70% kuna usalama 30%tumpe mungu mjua yote
  6. AI BRAINFULL

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya META inayomiliki WhatsApp, Facebook, Instagram, Threads, Messenger, inashirikiana na mamlaka za Serikali kukamata wahalifu

    Nilianza kuiogopa meta miaka 5 iliopita pale walipoweka kipengele cha location,contact numbers ingawaje haikua razima kuweka on au off nikasema hapa tayar kuuzwa kupo njian
  7. AI BRAINFULL

    JamiiForums Tanzania Wapinzani wamuomba Rais Samia fursa ya kusafiri naye nje ya nchi. Awakubalia

    Kama namuona vile bwana kabwe zito,ndugu prof lipumba
  8. AI BRAINFULL

    JamiiForums Tanzania Sijui ndio tuwaite washamba au limbukeni wa magari?

    Ukiwa safarini na gari yako mtu anaetaka ligi kumjua ni simpo maana atakaka akupite,mt mwenye uelekeo mmoja utamjua maana anaweza kukupita ukimpisha na anaekufuata utamjua maana anaenda kama uendavyo ww na hatak kukupita so ww ulionesha kumfuata angekulima chuma
  9. AI BRAINFULL

    JamiiForums Tanzania Sijui ndio tuwaite washamba au limbukeni wa magari?

    Mungu mwema huyo jamaa amekuuliza kimahaba tu nawe ukamshangaa kishkaji ila kwa hali yasasa uyo jamaa angekua na manati ya kizungu angekulipua maana ulimletea ligi isiyo na maana tena mtaa mliotokea ni wakutilia mashaka
  10. AI BRAINFULL

    JamiiForums Tanzania Kwenye miaka mitatu hadi sasa SIMBA huleta timu zisizo na mvuto siku ya bonanza ya SIMBA DAY

    Ni vile tu watu hupenda michezo na hakuna mishe za kuwapa watu ubusy ila mvuto unapungua si kwa wasanii,wala timu halikwa
  11. AI BRAINFULL

    JamiiForums Tanzania KERO Ongezeko la nauli kwenda au kutoka Zanzibar linatuumiza wengi

    Aya tar 12 ipo jirani nenden mkatazame simba na yanga
  12. AI BRAINFULL

    JamiiForums Tanzania Ni nani aliyepitisha Katiba ya Rais kuwekewa kinga?

    Kwa kipindi cha chini ya miaka 2000 katiba iliwafaa sana ila kuanzia 2001 kuja uku mbele haifai
  13. AI BRAINFULL

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    Na msisahau apo TEC hawajawai sema jambo kuhusu maridhiano ya kweli na ata upepo unavumia izo pande mbili na zimebeba watu wengi
  14. AI BRAINFULL

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    Maridhiano ya nani na nani? Hata izo ofisi zitataka kufahamu maridhiano ya nani na nani,yanayohusu nini na mnaridhianaje
Back
Top Bottom