Leo wamenipigia simu Taesa wakaniuliza kama nimepata kazi nikawajibu bado wakaniambia watanirudia nipo nasikilizia simu yao, tayar nilishafanya interview Na training
Jaman naombeni msaada katika application ya TRA sioni sehemu ya kuweka birth certificate na passport size katika ile system yao aliyefanikiwa naomba msaada
Msaada jaman aliyewahi kufanya usahili mamlaka ya maji na usafi wa mazingira kada ya Accountant assistant maswali yake yanabase wapi katika written na oral
Habari! Nimemaliza bachelor ya Account lakini piah nina diploma ya Account Msaada kwa yoyote mwenye ufahamu wa kampuni au ofisi inayohitaji mhasibu iwe nafasi ya kazi au volunteer kwa level ya diploma au degree nipo tayari kufanya mawasiliano yangu 0655731336
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.