Acheni blablaa nyie hakuna mbunge wa sasa wa chama chochote atakayekubali kuachia kwa hiari yake labda wale wachovu,pesa itatumika tu hata kwa wabunge wa upinzani. siasa inajilipa ukiwekeza nchi hii ya wajinga
Zitto
wacheni kubwabwaja,wanasiasa wote wenye vyeo mnatafuna nchi,tofauti ya
kipato ni kubwa mno. Tuambie Chadema mkiingia madarakani mtapunguza
mshahara wa Rais kuwa Tsh 2 000 000 na mbunge 750 000 kama hawajakuua
wenzio. wacheni blablaa.wanasiasa mnatufanya sisi wananchi...
wewe kwa mapungufu yako ya akili unadhani Waislamu wameshindwa kuandika hiyo MoU? tuna wasomi wengi tu wa kuandika mengi zaidi ya hiyo,dini yetu inatukataza unafiki,serikali imetuundia chombo sisi Waislamu ambacho hatukitaki,tukishapata chombo chetu huru,ndio tutaamua nini cha kufanya na tegemea...
kakuambia nani ulaji wa siasa unaachika kwa hiari? mshahara na marurpurupu unakaribia Tsh 20 million bado uenyekiti wa kuzunguka nchi nzima,hata kama Zitto hachukui lakini yapo mengine,na ukimaliza Tsh 60 million mezani bila kuhangaishwa kama wastaafu ili zikuwezeshe kurudi bungeni,tume ya...
hivi vyama vya siasa ni miradi ya wajamaa hao,lazima atafutwe bingwa wa kukwepa auditing ili siri zisivuje,wewe mzee tulia huko ulipo waachie vijana wako wajibu,you are very senior here
wewe ndio mwenye mapungufu,ukijadili kitu lazima ulinganishe na kingine ndio utapata jawabu maana threads zenyewe ndio zimeelekeza hivyo hawawezi kuchangia chochote hadi wajumuishe na ccm hata kama mada haihusiani na ccm. upoo?
Even
if you are there for foreign aid,who are you in our country leadership
to be recognised there? Cheap politics in advertisement. Unakumbuka
siku ile ulipombusu mkono Sabodo alipowapa msaada wa kujenga chuo cha
uongozi? kumsujudia Sabodo uliimanisha nini? na wewe huna ubavu wa...
Even
if you are there for foreign aid,who are you in our country leadership
to be recognised there? Cheap politics in advertisement. Unakumbuka
siku ile ulipombusu mkono Sabodo alipowapa msaada wa kujenga chuo cha
uongozi? kumsujudia Sabodo uliimanisha nini? na wewe huna ubavu wa...
Tz imejaa nusu vichaa sababu wakiambiwa chochote na wanasiasa wanafuata/wanashabikia hata kama hakina faida kwao. muda wa kujiuliza na muda wa kufikiri hamna,hebu angalia threads ndipo utajua hamnazo tena huenda wengine wapo vyuoni
ndio hapo utaona ujinga watz. hizo ni programu za serikali kuboresha barabara kuu na za miji. kuna siku watsema mchungaji wa Iringa ndio kajenga Dodoma hadi Iringa. hao jamaa hamna kitu ni robbots
nyie mliokuwa mkishangilia fujo za Mtwara sasa mnalalamika nini? kama ni Al shabab na ije tu,tuone bomu itachagua huyu chadema au ccm au huyu mkiristo au muislam.huo ni upumbavu wenu wa kushabibikia mambo bila kujali madhara ya baadaye,kama kuna anayewaagiza kufanya hivyo anawapoteza kwa...
acheni upuuzi wa kusema vituo vya mizani ni janga la kitaifa. bila hivyo vituo barabara zitaisha na katika kuzijenga upya ni mimi na wewe ndio tutazijenga kwa kodi tutakayotozwa. Wagome tu kuna malori mengi yanasaka kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.