I salute you for the great comment, wakati mwingine mtu aje na statistics na physical or tangible evidence then at least tunaweza kuanzia pale. Inasikitisha tena bila kufikiri kama great thinker mtu anakuja kutueleza kuwa "akaanza kuajiri wenzetu" so inaimply hali ilikuwa mbaya sana kwa hao...
Alichokisema ni sawa kulingana na mwaandishi mleta hoja/mada, tatizo labda naloliona yawezekana digits zisiwe na uhalisia, source za gazeti hazijawekwa bayana ambayo ndiyo ingetusaidia zaidi, though haiingii akilini mzee Museven aweze kulipwa hiyo amount kwa mwaka, hata hivyo everything is...
Hivi ni kweli kabisa mtanzania ni mwepesi kusahau kwa haraka kiasi hiki? Pesa za kula leo na kesho zitatufikisha wapi? Sitaki kuamini katika hili, labda watanzania tuna mapungufu fulani, na hatujayafahamu, so itabidi tukae tujitafakari sana kuyatafuta mapungufu yetu, nchi siyo ya "maabara" ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.