Kuku wa Mayai kifaranga tunauza Tsh 1,700/=
Ila kabla haujamnunulia wala Kulipia Vifaranga, mlete kwanza kwenye semina apate shule Indio tumpe vifaranga.
Layers was hawana mambo Mengi.
Kwanza hakikisha wamepigwa Maleks kutoka shamba unapowanunua.
wakifika kwako, wape antibiotic Moja ya kukausha vitovu, kama walisafiri umbali wa zaidi ya 100km wape glucos and VV is true.
Pili hakikisha unawaandallia foto la angalau Siku 14 za mwanzo.
Kisha...
One day chick inategemea ni kuku gani, kuna aina nyingi za kuku na wote wana matunzo yao na chanjo zao tofauti tofauti, unaweza kufika kwenye semina zeta au ukanicheki kwa Namba 0713071701 whatsapp kwa Maelekezo specific.
Habari yakO Mfugaji na mdau.
Niko hapa kukupa elimi na ukweli juu ya Ufugaji kuku, achana na zile story za madaktari wa SUA wanaomaliza na degree zao na hawajafanya mazoezi au practical, ukija hapa utaambiwa ukweli kuhusu hii industry, kuanzia mabaya yake, uzuri wake na faida zake kiuchumi na...
kifaranga kimoja ni sh 1500, na ukiweka oder unapata baada ya siku 21, na kwa walio mbali huwa tunatoa elimu kwa wtsap, ni nji arahisi sana, maana naweza hata kukutumia picha.... 0713071701, namba yangu hiyo ya watsap.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.