Hivi hii michakato inahusisha CCM tu?
Hivi Lipumba miaka yote anagombea tangu 95,2000,2005,2010,2015 na 2020 huwa kuna mchakato wa ndani?
Mbowe 2005 alipambanishwa na nani?
Huko kwa mzee wa Ubwabwa,huwa anapambanishwa na nani?
Dovutwa yule?
NRA?
nk
Nk
Nk
Nafikiri BoniYai angeenda mbele zaidi kwa kuwataja kabisa waliompigia simu ili kudhibitisha madai yai yake. Vinginevyo itaonekana kama uzushi kama zushi zingine.
Sina uhakika kama umewahi kujitoa kwa namna kama hii ambayo hata kama haitakata kiu ya wote lakini wengi tutaokota maarifa mawili matatu.
Ushauri wangu kwako,baada ya kugundua udhaifu fulani,ulikuwa na nafasi ya kumshauri ili aboreshe bandiko sio kumfanyia attack kama ulivyofanya.
Hivi akikaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.