Hellow wadau,
Ninatatizo moja kubwa sana na hata sjui nianzie wapi kusolve. Ninampenzi wangu anaitwa Ashura ninampenda sana pia yeye ananipenda sana.
Lakini tatizo nikwamba mimi ni mkristo yeye ni mwislamu na ningependa awe mwenza wangu wa maisha. Pia wazazi wangu wanakataa kosa dini tofauti...
Mwanamke huyo yupo kimaslahi zaidi coz anawanaume zaidi ya wawili apart from u, still yet anataka awadatishe(awaloge) ili mmpe anachotaka. xo hata ukimsamehe atabaki kuwa kimaslahi zaidi na nibora aendelee na hao wengine. pia mshukuru Mungu kwa kuonesha hayo nia yake akuepushe bt ww unataka...
Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2014 naomba mnishauru wadau juu ya uteuzi wa combination kati ya PCM na PCB. coz watu wengi wananishauri nisime PCB.
Na mm ninapenda nisome PCM, pia hata wazazi wana nishauri nisome PCB. wadau naomba mnisaidie ipi niende jati ya hizi combi mbili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.