Kwakweli kama mzazi naumia na nakosa raha sana
Ni vijana wangu, huyu mdogo hana kabisa heshima kwa kaka yake, nimepoteza hela nyingi kumgharamia ila amevuruga kila kitu
Na mama yake hakiwa mtetezi wake mkuu
Niliwaita, wote wawili jana na nikawaambia ule wimbo wa baatu buduju,nyie watoyowa...