Recent content by Ages11

  1. A

    Kuliko kuchomwa moto wa Milele ni Vyema na haki Mungu akatufanya watumwa. Tuwatumikie watakatifu huko mbinguni

    Kila anayeenda dhambi huku akijua siyo sahihi huyo anakuwa anataka kwenda jehanamu. Jeshanamu iliundwa kwaajili ya shetani na malaika zake. Hakukua na haja ya kukaa kikao, ukweli upo wazi ukitenda dhambi bila kutubu na kuacha hiyo dhambi hatima Yako ni motoni. Kila mwanadamu anajua jema na...
  2. A

    Kuliko kuchomwa moto wa Milele ni Vyema na haki Mungu akatufanya watumwa. Tuwatumikie watakatifu huko mbinguni

    Mungu ameileta vipi thambi? Mungu hakutengeneza jehanamu Ili achome watu, watu ndio wametaka kwa hiyari Yao wenyewe wachomwe pamoja na shetani.
  3. A

    Kuacha kazi nzuri kutokana na pressure kubwa

    Acha kazi unisaidie kuhesabu kenchi.
  4. A

    Mwenye neno lolote tupia hapa kuniponya

    Kukosa kazi na upweke mkubwa ndio changamoto kubwa.
  5. A

    Mwenye neno lolote tupia hapa kuniponya

    Nilianza kwa kushindwa kuona vizuri mwaka 2012,nilipewa dawa mbalimbali sikumbuki kwa sasa ila zilikuwepo Prednisone pamoja vitamin B, kipindi natumia hizo dawa masikio yalikwa yanapiga sana kelele ,tatizo la uoni hafifu lilipoisha ndio likaja hili la usikivu.
  6. A

    Mwenye neno lolote tupia hapa kuniponya

    Ni kweli mawasiliano yangu mengi ni maandishi, changamoto ya usikivu lilizalizaa ukimya, kwakua marafiki wanapokaa kuzungumza naweza nisijue kwa mapana wanaongelea Nini, hili lilifanya nisiwe napendelea kukaa sehemu wanayozungumza kwasababu nilionekana msumbufu kwa kuuliza maswali Ili na Mimi...
  7. A

    Mwenye neno lolote tupia hapa kuniponya

    Kwa mara ya kwanza tangu niifanamu jf ndio ninaandika post, samahani kwa uandishi mbaya. Kilichonisukuma kuandika hii post ni kwamba nimepoteza pambona la maisha na hata nafasi yangu inanishuhudia hilo. Nimepitia Mikasa Mingi sana hapa duniani tangu utoto wangu, nimepambana vya kutosha bila...
  8. A

    Huu ni ugonjwa gani? Maana dawa zote zimedunda

    Eczema ( pumu ya ngozi)
  9. A

    Aliyewahi kukutana na majibu ya HIV kama haya Msaada please

    Kwahayo majibu inaonekana upo salama 100%
Back
Top Bottom