Jana nimesikiliza taarifa ya habari sikusikia mketo akitaja jina la Lipumba, nilichosikia Ni kwamba wanakaribisha wanachama wa CUF wanaotaka kugombea nafasi mbalimbali wajitokeze kuchukua fomu. Baadae ya hapo wagombea watakaopitishwa na CUF watapambanishwa na wagombea toka vyama vingine kumpata...
jamani leo nimekasirika kuliko maelezo kweli mtu anatetea wamisri na kuwaacha watanzania? kwa kweli huyu hafai kabisa kuwepo hata tanzania mi naona ni bora ahamie hukohuko kwa.waarabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.