Yeah this is true kabisa. Wale ambao hawakufanikiwa pia walitakiwe watumiwe email kwamba hawajapata. This is a challenge na nakubaliana na wewe. Afu hii issue sijui kwanini, sio kwa TRA pekee hadi kwa taasisi nyengine za private wana tabia ya kukaa kimya kama myu hujafanikiwa
Sijajua kwa sababu gani TRA wamefanya hivi, lakini wote waliofanikiwa kupata kazi hizi walitumiwa Emails kwamba wamefanikiwa so kama hukutumiwa ni automatically haukufanikiwa, the same to kama pdf ya majina ingetoka, kama hukufanikiwa basi hata kwenye majina mtu usingekuwepo. Cha msingi ni...
Haya ni mawazo yako so nayaheshimu sana. Lakini kwa upande wangu mimi ni kuwa Ahly fc ni timu kubwa sana Africa, ni moja kati ya timu ambazo huenda na approach tofauti kwenye kila mechi na timu anayocheza, wewe umemuangalia ahly akicheza na simba, hujamuangalia ahly akicheza na wydad na timu...
Hello guys,
Nimekuwa nikiifuatilia JamiiForums kwa kipindi kirefu, lakini ilikuwa ni kupitia kwa Mitandao yake ya kijamii, but now here i am. New member of this Forum.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.