Recent content by aftatu pesa

  1. aftatu pesa

    Mke wangu anapenda tufanye mapenzi usiku tuu!

    Embuu subiriii!!twende taratibu huenda unakula jini au majabu mengineyo tyuu,heeeeee!mbn unafanyiwa ukatili hivyoo alafu upo wala huna wacwac km hakijatokea kituuu vilee
  2. aftatu pesa

    Wadau ninampenda sana Zumaridi

    Omba ushauri kwa mawifi zakoo kwanza manake gubu la mawifi watavumilia kweli yaani Mfalme Zumaridi Vs Malikia wa nguvu Tandabui202,,,,,,,nipo pale njee ya kanisa nawasubiri
  3. aftatu pesa

    Hivi ni vidonge GANI?

    Ondoa hofu kabisa Kama umevikuta kwenye viatu pasina shaka hivyo vitakuwa kwa ajili ya wadudu warukao na watambaao.Nawasilisha!,nakaribisha maswali,ushari,dukuduku,hasira,jazba,,,,au bac tyuu
  4. aftatu pesa

    Hawa madogo wanaoonesha pesa TikTok, pesa hizo wanapata Wapi?

    Wahenga wa buza tunasema,,,hahahah,,,Ukitaka cha uvunguni sharti uchutame shekhe wanguuuu,,,,,cha mtu huliwa na mtu na chuma huliwa na kutuu.Mujikaze tu jamani kila mtu ashinde mechi zake nasikia buza kuna gereza jipya hukoo,,,,,,,,,hivyo ball litembee
  5. aftatu pesa

    Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

    Inaonesha marehe ukimto huyo Ray hapo hawakutaka kuwatia huzuni wala kuwachosha watu msibani na majirani hivyo wasiwe na makazi mahalum!,,,,,ila yote sawa kwa maana nyumba,mali na vinginevyo ni vya duniani tyuu utaviacha,,,,hahahaa,,,,,, ila chako ni dhambi za huku duniani tu hivyoo dj...
  6. aftatu pesa

    Komesha harufu kali ya miguu kwa kutumia VODKA

    Hahahhahaha umesahau mkuu angalizo hala hala jamani tumia chombo cha usafiri yani upelekwe maana miguu inakuwa imelewa yaani nyayo hazina ushirikiano na vidole yanii unakuwa umelewa nusu(half body drunk)hahaha ni kituko juu upo serious chini umelewa
  7. aftatu pesa

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Jamani nawakumbusha tyuu wanaume tusije tukanukia sanaa kuzidi "ke" watu wakashindwa kukutofautisha,,,wanywa vyombo hutongoza kwenye disko light zile hivyo hala hala tubalance minukio,,,,usinukie sana km jinii!!
  8. aftatu pesa

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Tutajuaje km ngozi inangaa kweli?tuma picha tuthaminishe yaliyomo yamoo?au ndo yale yalee jina la mpalange ni ubini wa mxunguu
  9. aftatu pesa

    Marafiki wa kweli ni wa utotoni

    Daaaah!umenikumbusha mwanangu sana raymond benedict enzii hizoo skuli ya nursery loooh!tunapitia ndani ya fenc y nyumba ya mapadri pori t pori kama maofficers wa tanapa hahahahahaha
  10. aftatu pesa

    Sijamuelewa mke wangu

    Ukikaa na mwanamke sanaaa wallah munaanza kufanana ndo usemi wa "nitakupa wa kufanana naye" ndo unatimia,miaka 17 kasolo 1 umri wa kijana kujitegemea kiserikali maadamu umeshazaa naye kwa ajili ya watoto wako usimuacha mpige matukio tuu yaanii toa chuma weka chumaa.na mungu akufanyie wepesi...
  11. aftatu pesa

    Wanaume tujadiliane, hivi ni muda gani sahihi wa kuanza kumpa mwanamke hela baada ya kumtongoza?

    Ila kweli mfano mademu wa uswazi ni easy to carry kabisa hawana mambo mengi kama mchele wa poshori,,,,,sasa nenda kwa maslayq wapaka bleach utajua kwa nini adhana haina beat
  12. aftatu pesa

    Napoteza hamu ya mahusiano muda mfupi baada ya kuyaanzisha. Je, hii ni hali ya kawaida?

    Itakuwa shetwani wako hana hisia!!!!,muombe mungu sana kijana dalili mbaya hizooo,,,kemea kabisaaa
  13. aftatu pesa

    Wanaume tujadiliane, hivi ni muda gani sahihi wa kuanza kumpa mwanamke hela baada ya kumtongoza?

    Hahahaha kwa mwendo huo tuwe tunawabaka tusitongozee tenaa maana imeshakuja janga la taifa
  14. aftatu pesa

    Usione anatembea amependeza mrembo hivi. Usijaribu kabisa utajuta

    Nitaiprint afu naipigia lamination inafaha kwa vizazi vijavyo piaa manake c kwa kuoza kwa hii dunia ya minyanduanoo
  15. aftatu pesa

    Udhaifu wangu kwa wanawake Ni wowowo

    Hahaha!jogoo sifi kwa utitili,,,kumbe tupo wengii hivii " NB:Sio Trako tu bali liwe laini flani(soft drink)" wallah ntakufa miyeee looooh!! nalog off
Back
Top Bottom