mtoa mada ametumia lugha angavu tu kuwasilisha hoja yake, kwann wewe unamjibu kwa kejeli na kashfa?? Hilo linaonyesha hauko makini na umejawa mihemuko.
Mleta mada una hoja, binafsi nimekuelewa. Wenye dhamana watachuja na kuchukua yanayofaa.
Endelea kuipenda na kuitetea nchi yako.
Sijui hata kama unauelewa mdogo tu wa biashara, lkn principle ndogo tu kiuhasibu/kibiashara ni kwamba hauwezi claim/dai mapato kwa Huduma ambayo haujaitoa!! Unawezaje hesabu faida kwa Huduma ambayo bado unadaiwa?? Sasa kama Huduma bado haujatoa, unawezaje pia itoza kodi?? Sidhani kama ni wazo...
Sasa kwann hawakusanyi?? Kama hawakudanyi maana yake wanaiibia serikali (nchi) mapato sababu mlaji wa mwisho anaendelea tu kulipa VAT lakini wao hawapeleki TRA/serikalini makusanyo sahihi.
Sasa unaanzaje kutetea ukwepaji kodi?? Sidhani kama ni afya sana kutetea watu kama hawa. Ni ngumu lkn...
Ukweli ni kwamba kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi katika fuel reselling. Kituo kisipotoa EFD receipts, TRA inawezaje thibitisha actual/gross sales za hiko kituo?? Ni ngumu sana, na hivyo tax revenue accuracy inakuwa ni underrated/underestimated figures.
Game limebadilika, waarabu mmetajirika...
Nijuavyo mm pamoja sina uelewa sana, ila kodi (VAT) inatozwa kwa mlaji wa mwisho (consumers). Sasa hilo wazo lako sijui litakuwa applied vp, ila simply its against taxation laws. Naweza rekebishwa pia.
Nimepita kitonga mara kadhaa, ila Ndororo ni nyoko aisee, wengi hawaujui sababu hawajaupita. Ndororo mm naiogopa wakati wa kushuka ukiwa upande wa korongo, mmh hapana aisee. Kabla sijapandisha au kushuka ile kitu lazima maombi yahusike kwanza.
Halima ni mbunge mzuri ila she is too emotional!! Ni mtu ambaye hapendi kuonewa, na bahati mbaya CCM wameshawasoma, wanawa provoke makusudi waki react wanawapiga pini ndani na nje ya bunge.
Ukifuatilia spinning ya tukio la Shonza na Kubenea et al, na la Ally Hapi na Halima, unaweza soma...
Kiongozi unge stick kwenye hoja moja mjadala ungekuwa mzuri, lkn sasa umedandia mada nyingi sana na napata wakati mgumu kukujibu.
Lakini naheshimu hoja na muda wako, labda nikirudi kwenye mada nikuulize, bila hao "chai" kuwepo wewe unaweza ukalala usingizi?
Mkuu wananchi wa kule ni wavumilivu sana, ni watu ambao walishajenga imani kubwa sana na chama kihistoria, lkn idadi hiyo ya wazee inapukutika kwa kasi na sasa kuna asilimia kubwa ya wapiga kura vijana, wote tunaelewa kifuatacho.
Masika ya juzi hapa palikuwa hapapitiki vizuri kule, barabara ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.