Sijaona mtu anaekaribia ukamilifu kama Baba yangu.
Yaani yupo mbele ya muda saaana, Discipline yake ni ya kimungu sana.
Yaani ni kama kajiandaa Kwa Kila kitu, magonjwa, ukame, Kila tukio katika maisha Yake. Kuna vitu anaweza fanya Leo mkasema Sasa hio for what. Mtaelewa Miaka mitatu minne...