Recent content by AFRIKAN GUY

  1. A

    Umakini katika Kuadhibu watoto wetu

    Viboko muhimu, lkin vilingane na kosa na vifwatane na maelekezo. na visiendeshwe kwa hasira bali viendeshwe kwa lengo kuu la kumfanya mtoto awe mtu bora.
  2. A

    Umakini katika Kuadhibu watoto wetu

    hio methali ina maana kwamba tabia, mienendo, na maisha ya baadaye ya mtoto hutegemea malezi anayopata utotoni. Ikiwa mtoto atalelewa kwa maadili mema, upendo, na nidhamu, kuna uwezekano mkubwa kwamba atakua mtu mwema na mwenye maadili. Vilevile, mtoto akilelewa kwa njia mbaya, kuna hatari ya...
  3. A

    Umakini katika Kuadhibu watoto wetu

    Nilikua natumia muda kufikiria namna gani ni mwadhibu mwanangu kulingana na kosa alilotenda, kiasi kwamba mpaka nahairisha kumwadhibu au nasahau. Nimelelewa na mzazi ambaye anapiga balaa, yaani anatandika kinouma. kiasi kwamba ninamuogopa mpaka leo. Lakini katika kusoma soma kwangu nikapata...
  4. A

    Mkwawa: Shujaa au muonezi

    nimekuelewa hapo mkuu.
  5. A

    Mkwawa: Shujaa au muonezi

    kwahio tunakubaliana kwamba sio shujaa wa taifa la Tanzania.??
  6. A

    Mkwawa: Shujaa au muonezi

    mkwawa anatoka taifa la wahehe, alikua anapita akikama na kupora ardhi za mataifa mengine kama wabena wakinga etc. lakini kamwe hakuwahi kupigania taifa linaloitwa tanzania au tanganyika.
  7. A

    Mkwawa: Shujaa au muonezi

    mkalimani wake alimwangusha sana aisee....
  8. A

    Mkwawa: Shujaa au muonezi

    NAGAMAHONGA
  9. A

    Mkwawa: Shujaa au muonezi

    lakini tatizo linakuja pale ambapo ukijua kwamba, kipindi hicho kulikua hakuna kitu kinaitwa utaifa, wala tanganyika wala tanzania. kipindi hiko kulikua na makabila tu, na kabila lolote lenye nguvu lilikua linataka kutanua ardhi ya kabila lake.
  10. A

    Mkwawa: Shujaa au muonezi

    Mkwawa alikua muonezi Tu mwenye majivuno. na swala la yeye kujiua linathibitisha kiwango cha majivuno alionayo. pengine aliwaza moyoni mwake, kuhusu uonezi alio ufanya kwa makabila mengine ya karibu. watamuonaje, na makabila hayo watamfanya nini. ndipo sa akaamua kuutoa uhai wake.
  11. A

    Mkwawa: Shujaa au muonezi

    Hii ina make sense. Kwamba MKWAWA alikua hana habari kabisa swala utaifa na ukoloni. mjerumani kwake alikua kama adui mtu mwingine tu! aliesimama katikati ya harakati zake za kutawala kila ardhi anayo iona mbele yake.
  12. A

    Mkwawa: Shujaa au muonezi

    harakati za mkwawa zilikua ni kukamata himaya moja baada ya nyingine na kuifanya yake. na alizikamata kwa nguvu. inshort alikua mkoloni na na yeye kwa makabila ya jirani. Hakupanga kuacha, mpaka alipokutana na mjerumani. Tunapozungumzia Mkwawa, mara nyingi tunamwona kama shujaa wa kitaifa kwa...
  13. A

    Ukandamizaji wa matumizi ya vitu vya asili na wakoloni

    Hivyo ndio vitu tulivyopewa watu kwaajili ya kutusaidia kusurvive. Kabla miaka ya giza haijaingia. Ila for now it's hard to go back in those days. Na ndio tunaendelea kulalamika kuhusu matatizo mbalimbali ya kiafya na kiroho. Huku tukiendelea kua comfortable na luxuries za mkoloni. Ngozi za...
  14. A

    Ukandamizaji wa matumizi ya vitu vya asili na wakoloni

    Kabla ya mkoloni, kila kitu kilicho juu ya ardhi na chini ya ardhi kilikua kinatumika bila woga wala kificho. Alipokuja mkoloni akavikataza, kwasababu.: Aliviitaji kwa kazi zake za viwandani huko kwao. Sababu nyingne ni vitu hivi vilikua vikitumiwa na waafrika katika mambo mengi kama dawa...
  15. A

    Matambiko sio Ushetani

    sio kuabudu, bali ku apriciate uwezo wao walipo hai, na kuomba mungu akupe uwezo kama wao, na ulinzi wao uwe pamoja nawe. kisasa tunaweza sema ni kitenda cha ku activate DNA. sala, na maombi inafanya kazi ya ku activate DNA Yako. wala haiusu kubadilisha mawazo ya mungu au yesu juu yako. bali...
Back
Top Bottom