Maabara huwezi ukafungua kwenye kachumba,😂 kama duka la mangi.. ili upate kibali cha msajili wa maabara Tz lazima uwe na room zisizopungua 3, waiting area ya wagonjwa pamoja na reception, phlebotomy (eneo la kukusanya sampuli), analytical room (eneo la kuchakata sampuli). Unaweza kufanya...
Hellow hope everyone is good. Leo nawaletea fursa ya kuwekeza dodoma. Hakuna uwekezaji mzuri kama wa ardhi maana kila siku inapanda thamani ukilinganisha na kuhifadhi fedha bank.
Dodoma ni mji ambao unakua kila siku ambao wapo huku wanaelewa. Na ardhi zinapanda bei kwa kasi sana, hivyo wakati...
Hellow hope everyone is good. Leo nawaletea fursa ya kuwekeza dodoma. Hakuna uwekezaji mzuri kama wa ardhi maana kila siku inapanda thamani ukilinganisha na kuhifadhi fedha bank.
Dodoma ni mji ambao unakua kila siku ambao wapo huku wanaelewa. Na ardhi zinapanda bei kwa kasi sana, hivyo wakati...
Ukitaka ulinzi wa kiroho katika biashara yako na mali kuwa mwaminifu sanaa katika kutoa zaka kamili. Kuna siri kubwa sana katika utoaji wa zaka, I will recommend mkaangalie Interview youtube ya Dr.king'ori na Pastor T-mwangi about "How spiritual is Money"
Malaki 3:10-11
[10]Leteni zaka kamili...
Utaratibu ukoje mkuu wa kuipata bajaj.. lakini pia vigezo vinavyohitajika ni vp mbali na hivyo ulivyoainisha hapo juu? Je, ni lazima uanze na 1.5m ? CMPD ni nin?
Polee sana mkuu.. Biashara yoyote ile haikosi changamoto, ukisema lodge bila shaka wenye lodge wapo uku watatupa uzoefu ..usimamizi wa lodge ni mgumu sana. Alot of variables to handle.
Changamoto ya wapangaji kutolipa kodi inatokana na kutokuwa na mfumo mzuri wa malipo. Usikubali mtu aishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.