Leo January 12, 2022 ni sikukuu ya kitaifa ijulikanayo kama Mapinduzi ya Zanzinar ikiwa ni miaka 58 toka mapinduzi hayo yafanyike January 12, 1964 ili kuuondoa utawala wa Kisultan uliokuwa chini ya waarabu kutoka Oman.
Ikiwa imepita miongo mitano toka mapinduzi hayo yafanyike bado kumekuwa ni...
Ndugu,wanajukwaa habari.
Leo nimepokea pasipo kutambua noti ya shilingi elfu tano yenye muonekano mpya kidogo, yaani imepauka kiasi tofauti na ya awali pia mstari wake una muonekano tofauti kabisa na ule wa awali.
Baada ya kukumbana na sintofahamu hiyo niliamua kuwasiliana na muuza duka wa...
Imeshazoeleka, hivyo watu wanaivunja kana kwamba haipi.
Na hapo tatuzo sio wao kuendelea kutoa huduma, bali ni kufungulia muziki kwa sauti ya juu wakati watu wakiwa wanatakiwa kulala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.