Recent content by Africa Yangu

  1. Africa Yangu

    Kila nikiitazama barabara ya lami Kimara - Kibaha natamani kumchapa makofi Lissu

    Mama anawalipa kima wa kanda ya ziwa ww
  2. Africa Yangu

    Kila nikiitazama barabara ya lami Kimara - Kibaha natamani kumchapa makofi Lissu

    Unawzimu wale walifuatwa na barabara uwe na akili basi usiwe mwehu
  3. Africa Yangu

    Mayele anaweza Kucheza bila Shida Vilabu Vidogo EPL atakayebisha awahi Wodini Milembe Hospital

    M Mbona champions league alitolewa jasho la ulimi na al hilal..?? Wtf
  4. Africa Yangu

    Kila nikiitazama barabara ya lami Kimara - Kibaha natamani kumchapa makofi Lissu

    Zile nyumba zilizovunjwa aliwalipa wamiliki kama alivyolipa wale nduguze kule kanda ya ziwa..??
  5. Africa Yangu

    Kwa Hayati Magufuli hela anazotumia Tundu Lissu kuzurura zingetumika kujenga zahanati nchi nzima

    Hiyo miradi kwan leo haipo tena ipo zaidi na vijana angalau wanaajiriwa na wafanyakazi wanaongezewa mishahara angalau.
  6. Africa Yangu

    Punyeto na kubeti viko sambamba sana, na madhara yake yanafanana

    Watuache sisi tuchakatane mtu na mtuye
  7. Africa Yangu

    Kwa Hayati Magufuli hela anazotumia Tundu Lissu kuzurura zingetumika kujenga zahanati nchi nzima

    Na usisahau hela aliyo nunua wapinzanj na kuiba kura ingegumika kuajiri watanzania wengi tu wahitimu wasio na ajira serikalini
  8. Africa Yangu

    Kwa Hayati Magufuli hela anazotumia Tundu Lissu kuzurura zingetumika kujenga zahanati nchi nzima

    U ULivyo boya hayo unayotaja mengi ni mikopo na hisani daraja la tanzanite na fly over ni hela ya nchi yako au hisani na mikopo. Pumbavu jizi lile
  9. Africa Yangu

    Kwa Hayati Magufuli hela anazotumia Tundu Lissu kuzurura zingetumika kujenga zahanati nchi nzima

    Zile zina hesabu zake usituchanganye ubungo tunapita kila leo hapo sawa tuna ulizia ile 1.5 T haijaonekana imefanyia nn. Hayo maeneo unayotaja pesa zimepigiwa hesabu na bunge linajua wapi zimepatikana. Ulichojibu ni upumbavu
Back
Top Bottom