Ni sawa na kuuliza kwanini serikali haikutaifisha madrasa! Seminary kazi yake kuandaa mapadre(japo sio wote wanakuwa mapadre). ile zile zilizokuwa na malengo ya elimu tu zilitaifishwa kama Nganza, Nsumba, Tosamaganga, Rugambwa na Pugu.
Je nguvu ya sarafu kimanunuzi inalingana? Mfano Marekani jana Biden kapandisha kiwango cha chini cha ujira kuwa $15 kwa saa piga mara masaa 40 kwa wiki uone mtu anaingiza $ ngapi afu uone kama mtanzania ana hicho kipato. So Mmarekani hata akinunua GB kwa $ 6 kwake bado ni cheap kulingana na...
Pengine wewe si mkatoliki hivyo sio rahisi kuelewa umuhimu wa huduma na mwisho na namna binadamu anaeza ponyoka Moto hata sekunde ya mwisho kabisa. Habari za mbinguni si mambo ya CCM na Chadema
Pengo alisema tangu 2014 kuwa amebakiza miaka 5 kustaafu na kuteuliwa Ruwai'chi ni utaratibu wa kawaida wa kurithisha madaraka kikanisa hata Pengo mwenyewe kabla ya kuchukua madaraka Dar alianza kama mwandamizi mwaka 90.
Watu mnaandika uongo sana. Pengo hakustaafishwa, Pengo alifikia umri halali wa kustaafu madaraka yake kama Askofu mkuu wa Dar. Si yeye tu hata Askofu wa Arusha na Sumbawanga nao wamestaafu kipindi hicho hicho.
Bluebay Baby diapers,imara na bora zenye kumwezesha mtoto wako kuwa mkavu kwa saa 12. carton ina pc 5 na kila pc zipo diapers 25 kwa size kubwa yaani xlarge kilo 12 hadi 25, diapers 35 kwa size ya kati kilo 5 hadi 10 na diapers 40 kwa size ndogo kilo 3 hadi 6.
Iwapo utachukua carton moja bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.