Recent content by Afisa_Nkai

  1. Afisa_Nkai

    Umepitia Epstein files?Nini kilikuacha mdomo wazi ona hii

    Duuh kweli dunia si mbaya bali walimwengu wabaya
  2. Afisa_Nkai

    Barcelona kala 4 tayari huko msilale dk ya 52 kha

    Daah fedhea sana leo hela ya kamali imekuwa ngumu mnoo, yaani picha linanzaa Barcelona kaingia Msikitini na kitimoto dk 15 kabuluzwa 2
  3. Afisa_Nkai

    Barcelona kala 4 tayari huko msilale dk ya 52 kha

    Mbuzi kala banda anatafta pa kulala 😂
  4. Afisa_Nkai

    Count down to valentine

    Daah 😁😁
  5. Afisa_Nkai

    Mungu na jamaa yake Shetani wanazidi kupoteza umaarufu waliojizolea

    We ndege katibu jau sana 😁, haya maneno makali sana dilute Mkuu
  6. Afisa_Nkai

    Nimeamua kuwa Atheist

    Imani ni dhana pana, waneni husema imani chanzo chake ni kusikia pia waebrani 11. pale anakwambia imani ni kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo na ni bayana ya mambo yasiyoonekana. Kwa mujibu wa mtoa mada yeye anasema haamini tena uwepo wa MUNGU bali anaona bora kuamini katikabl nature na kuwa...
  7. Afisa_Nkai

    Nimeamua kuwa Atheist

    Dhulma, uonevu, usaliti na ukatili umetamalaki sana. Bora kuamini nature na kuwa mwema kwa viumbe hai hata visivyonekana. Hii kwenye kamali wanaita double chance kitendo cha wewe kuamini katika nature na kuwa mwema kwa viumbe hata visivyoonekana kwenye game of chess♟️, umepush king 👑 kwa...
  8. Afisa_Nkai

    Kuliko kuchomwa moto wa Milele ni Vyema na haki Mungu akatufanya watumwa. Tuwatumikie watakatifu huko mbinguni

    Sina uhakika juu ya uwepo wa jehanamu ya moto ila sidhani kama ni busara kukichoma kiumbe ambacho umenikitengeneza wewe mwenyewe kwa utashi wako.
  9. Afisa_Nkai

    Je, Mwanamke anahitaji nini kutoka kwa Mwanaume?

    Bandiko la kwenda na hii sio nature tu bali ni universal law
  10. Afisa_Nkai

    Kuliko kuchomwa moto wa Milele ni Vyema na haki Mungu akatufanya watumwa. Tuwatumikie watakatifu huko mbinguni

    Mungu hawezi kuandaa moto wa kuchoma wanadam, kwa sababu wanadamu ni sehemu ya upeo au uwezo wake hivyo kitendo Mungu kuwachoma wanadamu ni sawa na kukinzana na uwezo wake mwenyewe.
Back
Top Bottom