Imani ni dhana pana, waneni husema imani chanzo chake ni kusikia pia waebrani 11. pale anakwambia imani ni kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo na ni bayana ya mambo yasiyoonekana.
Kwa mujibu wa mtoa mada yeye anasema haamini tena uwepo wa MUNGU bali anaona bora kuamini katikabl nature na kuwa...
Dhulma, uonevu, usaliti na ukatili umetamalaki sana.
Bora kuamini nature na kuwa mwema kwa viumbe hai hata visivyonekana.
Hii kwenye kamali wanaita double chance kitendo cha wewe kuamini katika nature na kuwa mwema kwa viumbe hata visivyoonekana kwenye game of chess♟️, umepush king 👑 kwa...
Mungu hawezi kuandaa moto wa kuchoma wanadam, kwa sababu wanadamu ni sehemu ya upeo au uwezo wake hivyo kitendo Mungu kuwachoma wanadamu ni sawa na kukinzana na uwezo wake mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.