Hii ishapangwa na mola sasa hata upambane vip mbinu zitaisha zote na kuweka slaa chini na kuungana na safari.lowasa n jembe la uhakika linaloweza kulima hata kwenye changarawe na kuisambaratisha na kuvuna kwa mtindo wa kuzama kina cha usawa wa udongo bora
Hii n siasa n sawa na familia ya baba mama wawili utegemee kuna wazo jipya toka boma hizo mbili wakati mtawala ni mmoja.akiwa waziri walikua washauri wa rais kama baraza la mawaziri kwa nn haikushauriwa kipindi hicho yafanyike.sasa leo atavijenga kupitia wap?wakati boman n mlele.ikulu n taasisi...
kama mkubwa wao aliweza kurupukia chizi kwa mauaji ya ulimboka,sembuse kukana hilo?
police wamekua kama gari bovu hawafikirii hata kidogo kabla ya kutenda
damu ya huyu kijana ni lazima iwatafune hawa policeccm na kamwe hawatatoka kimaisha.hivi police wanafikiri au n kama punda kwenda popote ili mradi tu mwongoza punda kampiga fimbo kushoto aende kulia?mwisho ndo unafika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.